Recent content by siogopi

  1. S

    CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

    Wamekamatwa maana wakifika wanapigwa Diesel full tank midomo kimyaaaaaa!!!!!!!!!
  2. S

    CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

    Iko under Ministry of Finance,Nimeshawatumia kwenye email zao na attachment za ushahidi maana waliziomba juzi nategemea watalipua pindi nafasi ikipatikana,Nimewatumia wakali wote wa pale mjengoni bila kujali itikadi zao za vyama
  3. S

    CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

    Wanajua na wanatembea na nakala(hardcopy) kila waendapo na wakikumbuka wanazisoma hadi muda wa lunch, kama dozi 5*5 kwa siku.Vitisho ndiyo vimezidi hapa kazini japo pia nguo zemewalegea kiaina,Ila mmoja alisikika akisema kuwa TAKUKURU & USALAMA WA TAIFA kaikamata labda aje Slaa hapo
  4. S

    Ephrahim Kibonde ana CHEO gani CCM?

    Kibonde ni ''KIBONDE''
  5. S

    CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

    Ni Tanzania hapahapa na baada ya kupata taarifa wanachimba watu mkwara eti watampanishi aliyeandika hapa, nahisi hawajasoma jina langu hapo juu, narudia kuwa ''SIOGOPI'' na ninayo mengi ya kumwaga hapa jamvini hasa kuhusu hii GPSA, Ngoja waendelee kusumbua watu na hamisha hamisha zao za...
  6. S

    Wabunge wa CCM wakutana saa saba, watambeba Ngeleja?

    Jaxx wewe ni noma, NIMEKU LIKE HAPO CHINI MWANANGU.
  7. S

    Wabunge wa CCM wakutana saa saba, watambeba Ngeleja?

    Mwaka huu penye UZIA penyeza MAANDAMANO
  8. S

    Wabunge wa CCM wakutana saa saba, watambeba Ngeleja?

    Tusiwabembeleze wacha ili 2015 ile kwao tena
  9. S

    CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

    GPSA-Government Procurement Service Agency;Wakala wa huduma ya Manunuzi ya serikali, Makao makuu yako hapa Dar es salaam maarufu kama Bohari, hapa ofisini kuna uchafu wa hali ya juu maana wakubwa wamekuwa wakiishi kama wafalme wakati wafanyakazi wa kawaida wakiwa na hali duni SANA. Hali...
Back
Top Bottom