CAG njoo GPSA makao makuu kumeoza-ufisadi mtupu

siogopi

Member
Jul 9, 2011
10
1
GPSA-Government Procurement Service Agency;Wakala wa huduma ya Manunuzi ya serikali,

Makao makuu yako hapa Dar es salaam maarufu kama Bohari, hapa ofisini kuna uchafu wa hali ya juu maana wakubwa wamekuwa wakiishi kama wafalme wakati wafanyakazi wa kawaida wakiwa na hali duni SANA.

Hali halisi ya hapa ni wizi wa pesa za umma uliokithiri, kuna vikao bandia vingi vya mabosi hasa mwisho wa mwaka wa mahesabu kwa lengo la kujilipa mabaki ya budget, na pesa za mauzo hazipelekwi bank kwa muda mrefu bila taarifa ya kutosha. Wakaguzi wakija wanapoozwa hivyo kuacha uozo ukiendelea kuichafua Idara.

Wakuu wa Idara hawaelewani kwa maslahi yao binafsi,Idara ya manunuzi(procurement) wanalipana hata bila vikao halali, ni wapi ulisikia kikao kimoja mtu analipwa laki 7 kuanzia mfagiaji hadi dereva?

Idara ya Finance wao hawaambulii kitu maana boss wao hujilipa mwenyewe kikao kimoja Tshs 1,000,000 (I mill) huku akiwa na vikao kama 3 hadi 5 kwa week. Boss huyu wa Finance kachoka umri na anafanya kazi kwa mkataba baada ya kustaafu huku wasomi kibao hawana kazi nchi hii.

Kuitoa cheque ya mtu mpaka apate 20% ndo utaona wafanyakazi wanatukanwa kwa nn hawamuandikia flani cheque hasa suppliers wa mafuta.

Na wale wa procurement wameenda kufanya Evaluation za tender mikoani wamezichakachukua wamerudi na mamiliona ya pesa na malalamiko ya ma suppliers (Waomba tender) yamepelekwa hapo ofisini tena kwa ushahidi wa picha lakini hakuna hatua iliyochukuliwa mpaka sasa.

Mfano mzuri ni ile Evaluation ya Tender Morogoro imepitishwa kwa rushwa na ushahidi wa picha upo ila hakuna hatua iliyochukuliwa
Sijui kama CAG huwa anafanya kazi hapa vizuri maana mambo yanaonekana hata kwa macho matupu, aje akague madeni atashangaa maana yamelipwa mengi ila Mabosi wametia mifukoni na Vitabu vinaonyesha madeni ni makubwa sana.

CAG karibu sana maana tutakupa ushirikiano

Naomba kuwasilisha
 
hivi kazi ya takukuru ni nn vile? Mana utasikia uozo wa wazi lakini wapo kmya au nao wanalambismwa?
 
GPSA-Government Procurement Service Agency;Wakala wa huduma ya Manunuzi ya serikali,

Makao makuu yako hapa Dar es salaam maarufu kama Bohari, hapa ofisini kuna uchafu wa hali ya juu maana wakubwa wamekuwa wakiishi kama wafalme wakati wafanyakazi wa kawaida wakiwa na hali duni SANA.

Hali halisi ya hapa ni wizi wa pesa za umma uliokithiri, kuna vikao bandia vingi vya mabosi hasa mwisho wa mwaka wa mahesabu kwa lengo la kujilipa mabaki ya budget, na pesa za mauzo hazipelekwi bank kwa muda mrefu bila taarifa ya kutosha. Wakaguzi wakija wanapoozwa hivyo kuacha uozo ukiendelea kuichafua Idara.

Wakuu wa Idara hawaelewani kwa maslahi yao binafsi,Idara ya manunuzi(procurement) wanalipana hata bila vikao halali, ni wapi ulisikia kikao kimoja mtu analipwa laki 7 kuanzia mfagiaji hadi dereva?

Idara ya Finance wao hawaambulii kitu maana boss wao hujilipa mwenyewe kikao kimoja Tshs 1,000,000 (I mill) huku akiwa na vikao kama 3 hadi 5 kwa week. Boss huyu wa Finance kachoka umri na anafanya kazi kwa mkataba baada ya kustaafu huku wasomi kibao hawana kazi nchi hii.

Kuitoa cheque ya mtu mpaka apate 20% ndo utaona wafanyakazi wanatukanwa kwa nn hawamuandikia flani cheque hasa suppliers wa mafuta.

Na wale wa procurement wameenda kufanya Evaluation za tender mikoani wamezichakachukua wamerudi na mamiliona ya pesa na malalamiko ya ma suppliers (Waomba tender) yamepelekwa hapo ofisini tena kwa ushahidi wa picha lakini hakuna hatua iliyochukuliwa mpaka sasa.

Mfano mzuri ni ile Evaluation ya Tender Morogoro imepitishwa kwa rushwa na ushahidi wa picha upo ila hakuna hatua iliyochukuliwa
Sijui kama CAG huwa anafanya kazi hapa vizuri maana mambo yanaonekana hata kwa macho matupu, aje akague madeni atashangaa maana yamelipwa mengi ila Mabosi wametia mifukoni na Vitabu vinaonyesha madeni ni makubwa sana.

CAG karibu sana maana tutakupa ushirikiano

Naomba kuwasilisha
Ni Tanzania au?????!!!!!!!!!
 
Ni Tanzania au?????!!!!!!!!!
Ni Tanzania hapahapa na baada ya kupata taarifa wanachimba watu mkwara eti watampanishi aliyeandika hapa, nahisi hawajasoma jina langu hapo juu, narudia kuwa ''SIOGOPI'' na ninayo mengi ya kumwaga hapa jamvini hasa kuhusu hii GPSA, Ngoja waendelee kusumbua watu na hamisha hamisha zao za kichina,Nitaingia msituni wakimwaga ugali namwaga mboga, Juzi wamejifanya kukamata vijana wa pump za kisima cha Serikali kisa eti 5m wakati wao wamepiga kibao na ushahidi upo,suppliers wa Mafuta wameshanihaidi kunipa ushirikiano kuonyesha jinsi wanavyompa mdau mmoja hapa 20% wakiwa wanaomba Cheque zao, Nimetuma maoni kwenye website ya Serikali nasubiri majibu.
 
du!hivi GPSA ipo chini ya wizara gani?mpatie mpiganaji muheshimiwa mama Kilango au mama Shelukindo walipue mjengoni!ndio kiboko ya wafuja mali za umma!unaenda zako mjengoni unamtafuta unamkabidhi udhahidi anasema nao!wala hakuulizi cha jina wala address!ila isiwe majungu tuu na chuki binafsi!
 
Yes! Parachichi wazo zuri hilo kukaa kimya hakusaidii kitu, watanzania tuamke tunapopata data kama hivo 2siuchune! Big SIOGOPI!!
 
Hizi ni zama za vijana!wafuja mali za umma lazima watie akili!nchi tunasema maskin kumbe inaliwa na wachache!
 
Nahisi namna ya kukunyamazisha ni kukuingiza kwenye inner cycle ya 20%. Ni mbinu inayotumika katika ofisi nyingi hapa TZ. Option nyingine ni kukuchinjilia mbali.
I cannot imagine feelings za hao vigogo kama wanafuatilia hii thread, supposing ni members au wanaingia kama guest.
 
Nahisi namna ya kukunyamazisha ni kukuingiza kwenye inner cycle ya 20%. Ni mbinu inayotumika katika ofisi nyingi hapa TZ. Option nyingine ni kukuchinjilia mbali.
I cannot imagine feelings za hao vigogo kama wanafuatilia hii thread, supposing ni members au wanaingia kama guest.
Wanajua na wanatembea na nakala(hardcopy) kila waendapo na wakikumbuka wanazisoma hadi muda wa lunch, kama dozi 5*5 kwa siku.Vitisho ndiyo vimezidi hapa kazini japo pia nguo zemewalegea kiaina,Ila mmoja alisikika akisema kuwa TAKUKURU & USALAMA WA TAIFA kaikamata labda aje Slaa hapo
 
du!hivi GPSA ipo chini ya wizara gani?mpatie mpiganaji muheshimiwa mama Kilango au mama Shelukindo walipue mjengoni!ndio kiboko ya wafuja mali za umma!unaenda zako mjengoni unamtafuta unamkabidhi udhahidi anasema nao!wala hakuulizi cha jina wala address!ila isiwe majungu tuu na chuki binafsi!
Iko under Ministry of Finance,Nimeshawatumia kwenye email zao na attachment za ushahidi maana waliziomba juzi nategemea watalipua pindi nafasi ikipatikana,Nimewatumia wakali wote wa pale mjengoni bila kujali itikadi zao za vyama
 
GPSA sio mchezo ni sehemu ya kuzoa kila kigogo aliyepo pale, sijui wanafikiri h Edit Postawatoka make wakunyata hizo hela utafikiri wamzaliwa nazo, na bado tutawalipua zaidi ya hayo, nina mpago wa kupublish hizo picha zinavyoonyesha jinsi wnavyochakachua, Haiwezekani kabisa wazee ndio wanofaidi wakati vijana ndio hatulali tunafanya kazi. Muda si mrefu mtaziona.
 
Ni Tanzania hapahapa na baada ya kupata taarifa wanachimba watu mkwara eti watampanishi aliyeandika hapa, nahisi hawajasoma jina langu hapo juu, narudia kuwa ''SIOGOPI'' na ninayo mengi ya kumwaga hapa jamvini hasa kuhusu hii GPSA, Ngoja waendelee kusumbua watu na hamisha hamisha zao za kichina,Nitaingia msituni wakimwaga ugali namwaga mboga, Juzi wamejifanya kukamata vijana wa pump za kisima cha Serikali kisa eti 5m wakati wao wamepiga kibao na ushahidi upo,suppliers wa Mafuta wameshanihaidi kunipa ushirikiano kuonyesha jinsi wanavyompa mdau mmoja hapa 20% wakiwa wanaomba Cheque zao, Nimetuma maoni kwenye website ya Serikali nasubiri majibu.

Huu ndio uzalendo wenyewe kwa kweli tukipata nyinyi kama 1,000 nchi itafumuliwa yote maana madudu yako sehemu nyingi watu wanakufa nayo tu.
 
Big up brah,we shuld all have tha same spirit,sio tunaacha wapuuzi wachache wanaitafuna nchi yetu si tunaogopa kuwafichua
 
Safi sana mkuu....you've got my support....tupo nyuma yako ukihitaji chochote we sema tu....wakikutisha tunakata funua.....pumbafu zao
 
Big up SIOGOPI ata wakikutimua mi niko tayari kuanzisha harambee humu kwa ajili ya hela ya kujikimu mpaka upate ajira ingine.
Kuna watu wanajifanya miungu watu watu sana bse wako supported na serikali legelege hii.
Unaweza mkumnguta mtu risasi ivi ivi kwa hasira!
Vijana ni taifa la leo tukomae ili tushike hatamu!
Kwingineko wameweza why not us!
 
CAG yupi huyu huyu bingwa wa kusafisha uozo?
Jairo alituhumiwa kuchangisha Bilioni moja kinyume cha sheria, CAG alipochunguza akabaini kuwa pesa iliyokusanywa na Jairo kumbe ni nusu ya hiyo hivyo kwake yeye hilo halikuwa kosa. Dawa yake watu kama hawa ni kuthibitisha na bunge tu ili wakiboronga wamwagwe na bunge. Tumnapojadili katiba mpya tusisahau hilo

GPSA-Government Procurement Service Agency;Wakala wa huduma ya Manunuzi ya serikali,

Makao makuu yako hapa Dar es salaam maarufu kama Bohari, hapa ofisini kuna uchafu wa hali ya juu maana wakubwa wamekuwa wakiishi kama wafalme wakati wafanyakazi wa kawaida wakiwa na hali duni SANA.

Hali halisi ya hapa ni wizi wa pesa za umma uliokithiri, kuna vikao bandia vingi vya mabosi hasa mwisho wa mwaka wa mahesabu kwa lengo la kujilipa mabaki ya budget, na pesa za mauzo hazipelekwi bank kwa muda mrefu bila taarifa ya kutosha. Wakaguzi wakija wanapoozwa hivyo kuacha uozo ukiendelea kuichafua Idara.

Wakuu wa Idara hawaelewani kwa maslahi yao binafsi,Idara ya manunuzi(procurement) wanalipana hata bila vikao halali, ni wapi ulisikia kikao kimoja mtu analipwa laki 7 kuanzia mfagiaji hadi dereva?

Idara ya Finance wao hawaambulii kitu maana boss wao hujilipa mwenyewe kikao kimoja Tshs 1,000,000 (I mill) huku akiwa na vikao kama 3 hadi 5 kwa week. Boss huyu wa Finance kachoka umri na anafanya kazi kwa mkataba baada ya kustaafu huku wasomi kibao hawana kazi nchi hii.

Kuitoa cheque ya mtu mpaka apate 20% ndo utaona wafanyakazi wanatukanwa kwa nn hawamuandikia flani cheque hasa suppliers wa mafuta.

Na wale wa procurement wameenda kufanya Evaluation za tender mikoani wamezichakachukua wamerudi na mamiliona ya pesa na malalamiko ya ma suppliers (Waomba tender) yamepelekwa hapo ofisini tena kwa ushahidi wa picha lakini hakuna hatua iliyochukuliwa mpaka sasa.

Mfano mzuri ni ile Evaluation ya Tender Morogoro imepitishwa kwa rushwa na ushahidi wa picha upo ila hakuna hatua iliyochukuliwa
Sijui kama CAG huwa anafanya kazi hapa vizuri maana mambo yanaonekana hata kwa macho matupu, aje akague madeni atashangaa maana yamelipwa mengi ila Mabosi wametia mifukoni na Vitabu vinaonyesha madeni ni makubwa sana.

CAG karibu sana maana tutakupa ushirikiano

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom