GPSA-Government Procurement Service Agency;Wakala wa huduma ya Manunuzi ya serikali,
Makao makuu yako hapa Dar es salaam maarufu kama Bohari, hapa ofisini kuna uchafu wa hali ya juu maana wakubwa wamekuwa wakiishi kama wafalme wakati wafanyakazi wa kawaida wakiwa na hali duni SANA.
Hali halisi ya hapa ni wizi wa pesa za umma uliokithiri, kuna vikao bandia vingi vya mabosi hasa mwisho wa mwaka wa mahesabu kwa lengo la kujilipa mabaki ya budget, na pesa za mauzo hazipelekwi bank kwa muda mrefu bila taarifa ya kutosha. Wakaguzi wakija wanapoozwa hivyo kuacha uozo ukiendelea kuichafua Idara.
Wakuu wa Idara hawaelewani kwa maslahi yao binafsi,Idara ya manunuzi(procurement) wanalipana hata bila vikao halali, ni wapi ulisikia kikao kimoja mtu analipwa laki 7 kuanzia mfagiaji hadi dereva?
Idara ya Finance wao hawaambulii kitu maana boss wao hujilipa mwenyewe kikao kimoja Tshs 1,000,000 (I mill) huku akiwa na vikao kama 3 hadi 5 kwa week. Boss huyu wa Finance kachoka umri na anafanya kazi kwa mkataba baada ya kustaafu huku wasomi kibao hawana kazi nchi hii.
Kuitoa cheque ya mtu mpaka apate 20% ndo utaona wafanyakazi wanatukanwa kwa nn hawamuandikia flani cheque hasa suppliers wa mafuta.
Na wale wa procurement wameenda kufanya Evaluation za tender mikoani wamezichakachukua wamerudi na mamiliona ya pesa na malalamiko ya ma suppliers (Waomba tender) yamepelekwa hapo ofisini tena kwa ushahidi wa picha lakini hakuna hatua iliyochukuliwa mpaka sasa.
Mfano mzuri ni ile Evaluation ya Tender Morogoro imepitishwa kwa rushwa na ushahidi wa picha upo ila hakuna hatua iliyochukuliwa
Sijui kama CAG huwa anafanya kazi hapa vizuri maana mambo yanaonekana hata kwa macho matupu, aje akague madeni atashangaa maana yamelipwa mengi ila Mabosi wametia mifukoni na Vitabu vinaonyesha madeni ni makubwa sana.
CAG karibu sana maana tutakupa ushirikiano
Naomba kuwasilisha
Makao makuu yako hapa Dar es salaam maarufu kama Bohari, hapa ofisini kuna uchafu wa hali ya juu maana wakubwa wamekuwa wakiishi kama wafalme wakati wafanyakazi wa kawaida wakiwa na hali duni SANA.
Hali halisi ya hapa ni wizi wa pesa za umma uliokithiri, kuna vikao bandia vingi vya mabosi hasa mwisho wa mwaka wa mahesabu kwa lengo la kujilipa mabaki ya budget, na pesa za mauzo hazipelekwi bank kwa muda mrefu bila taarifa ya kutosha. Wakaguzi wakija wanapoozwa hivyo kuacha uozo ukiendelea kuichafua Idara.
Wakuu wa Idara hawaelewani kwa maslahi yao binafsi,Idara ya manunuzi(procurement) wanalipana hata bila vikao halali, ni wapi ulisikia kikao kimoja mtu analipwa laki 7 kuanzia mfagiaji hadi dereva?
Idara ya Finance wao hawaambulii kitu maana boss wao hujilipa mwenyewe kikao kimoja Tshs 1,000,000 (I mill) huku akiwa na vikao kama 3 hadi 5 kwa week. Boss huyu wa Finance kachoka umri na anafanya kazi kwa mkataba baada ya kustaafu huku wasomi kibao hawana kazi nchi hii.
Kuitoa cheque ya mtu mpaka apate 20% ndo utaona wafanyakazi wanatukanwa kwa nn hawamuandikia flani cheque hasa suppliers wa mafuta.
Na wale wa procurement wameenda kufanya Evaluation za tender mikoani wamezichakachukua wamerudi na mamiliona ya pesa na malalamiko ya ma suppliers (Waomba tender) yamepelekwa hapo ofisini tena kwa ushahidi wa picha lakini hakuna hatua iliyochukuliwa mpaka sasa.
Mfano mzuri ni ile Evaluation ya Tender Morogoro imepitishwa kwa rushwa na ushahidi wa picha upo ila hakuna hatua iliyochukuliwa
Sijui kama CAG huwa anafanya kazi hapa vizuri maana mambo yanaonekana hata kwa macho matupu, aje akague madeni atashangaa maana yamelipwa mengi ila Mabosi wametia mifukoni na Vitabu vinaonyesha madeni ni makubwa sana.
CAG karibu sana maana tutakupa ushirikiano
Naomba kuwasilisha