Haka mi naona ni kama kauvivu flani ulikonako mkuu. Samahani kwa kuanza ivyo ila sio kila mara utalazimika utoke ndani uende kwa wakala.. Si unapiga picha tu mabango yote pale tigo voda airtel halotel unasevu kwenye simu? Ukitaka kutuma unacheki gharama yake unaongezea hapo. Picha 4 tu izo...
Hiyo picha ni ya mfano mkuu.. Mdau kajitolea kumwelimisha mtoa mada jinsi ya kupata mwaka tairi ilipotengenezwa. Maana mtoa mada alikuwa hajui ila sasa amejua na tairi zimeshauzwa saivi kapandishia ist.
Shukran sana mdau.
Watu kama nyie mpo wala sishangai mtazamo wako utakapoona wewe ni risk wenzako wataona opportunity.
Nna uhakika iyo sehemu ungeletwa miaka 10 ungebisha ata lami / umeme kama vingefika. Kama ingekuwa ivyo maeneo mengi hapa mjini yangekuwa stagnant mpaka leo.
So thank you for pointing out the...
Nimefanikiwa kutumiwa picha na video eneo la tukio. Quality ya picha imejitahidi.
Tafadhali angalia eneo kama litakupendeza na una idea yako nzuri karibu tuyajenge .
Kuna nyumba moja kubwa ina vyumba 4 vyote self contained nakodisha kodi ya chumba 50,000 kwa mwezi. Tayari vyumba viwili vimechukuliwa bado viwili natafuta wateja.
Nyumba ya pili haijamalizika ina vyumba 3 nategemea kukodisha kwa ajili ya fremu / duka / chumba.
Na eneo la wazi kwa biashara...
Kabisa mkuu maana yangu ni kupata mtu wa kupaendeleza kibiashara ili pawe active..tena nipate mtu mwenye ujuzi wa kuendeleza biashara maana huu sio muda wa kufanya vitu kwa kujaribu mkuu.
Kwa maono yangu panafaa biashara za
. Matofali
. Kuosha magari
. Baa / Kuonyesha mpira
. Duka la spea za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.