Kuna msichana nimemuona Instagram baadae kumfatilia nikaona pia ana account twitter. Kiukweli ametokea kunivutia sana nahisi ndio msichana wa ndoto yangu. Nimeshamfollow lakini yeye hajanifolow back.
Ndugu zangu naomba mnisaidie mbinu gani nizitumie kumsogeza karibu hili niweze kumueleza...
Upinzani wa nchi hii sio rizki...Ndio maana wajanja kina mbowe na maalim wataendelea kuwaadaa maisha yote.
'Mpendwa wetu anaendelea vizuri sana, amefanyiwa opareshen ya 14, atafanyiwa upasuaji mwingine wa 15 ni critical but stable wapuuzeni waliomwona na kusema kakata kauli mimi ndio nasema...
Na wajanja wanatafuna hizo pesa.. story yao ile ile mpendwa wetu anaendelea vizuri, anatarajia kufanyiwa upasuaji mwingine wa kumi na tano atarudi salama... Upasuaji wa kumi na tano alafu anaendelea vzr bado hamjiongezi tu? maybe
Hajampangia aongee nini katoa ufafanuzi na upotoshaji kwamba kanisa limetamka kumbe ni mtazamo wa muumini mmoja. Ata Pengo maneno yake kasema ni mtazamo wake binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.