Chukua mshahara wako toa social funds mfano mshahara n 860,000-43000= 817,000 baada ya hapo rudi kwenye viwango vilivyowekwa na TRA ktk hiyo chart ya juu namba tano( v) kwa mshahara wa 860,000 basic ndo utaangukia hapo chukua 860,000-720,000 utapata elfu 97,000 pigia asilimia 30 ya elfu 97,000...