Lowassa atazidi kukatwa

Lowassa atazidi kukatwa

Sitawachagua wagombea viti mbalimbali wa ccm maana hakuna la maana watakalo lifanya tofauti na kuwapa wachina gesi kwa sababu ya fidia ya dogo Riz1 ya kukamatwa na madawa na kukwepa kunyongwa.
 
Kwa kwel hakuna jinsi 2tamkata 2 October 25 hakuna namna nyingine, ha2wez kumpa fisadi papa nchi
 
Ikumbukwe CCM ilimktata 1995, Amekatwa tena mwka 2015 na atakatwa tena October 25, Kama alivokuwa akiwakata Wengine. Muosha Huoshwa! Tulia Uoshwe.


Amen Amen! neno litasimama na shetani atashindwa! Tutamkata Lowasa kwa mapanga, jambia, viwembe, mundu, fyekeo, shoka, jembe, trekta, na matinga tinga... na hii isiwe kwa lowasa peke yake mgombea yoyote mwenye makando kando bila kuangalia anatoka chama gani......Tanzania kwanza ....chama baadae!
 
unaanzisha uzi wa kipuuz afu unachangia mwenyewe kwel we gamba

hakuna haja ya kufikiria mara mbili jinsi ya kumchinja lowasa.... kwa ameshaelekea KIBRA ...na kizuri kupita vyote ana tabia kama kuku wa kizungu hivyo Mchinjaji hana shida!
 
Alikatwa na tutazidi kumwonesha umwamba, ana kimavi cha kukatwa.
 
Back
Top Bottom