Recent content by Single Phase

  1. S

    Je, naweza kujiunga na Diploma ya Electrical Engineering?

    Ukijiunga na VETA ngazi ya Level 1&2 unasoma Physics kule inaitwa Engineering Science. Ukifaulu mtihani wa CBA (Competence Based Assessment) unapata VC2 kigezo cha kukufanya ujiunge na Level 3 ambapo utasoma masomo 5 pekee, somo la Physics halipo kwa ngazi hiyo. E/L ina hesabu zake sio kuanza...
  2. S

    Je, naweza kujiunga na Diploma ya Electrical Engineering?

    Ingia NACTVET search vyuo ni vingi na vyote vitakupokea
  3. S

    Je, naweza kujiunga na Diploma ya Electrical Engineering?

    Kasoma Level 3 na ana VC3 kwa Guidebooks ya sasa Diploma anasoma kigezo ni VC3
  4. S

    Ni situation gani ilikufanya utambue kuwa lazima utafute pesa hata iweje?

    M Mshukuru sana huyo Mzee,alikufunza kuwa maisha Si Mepesi. Bila yeye kufanya hivyo usingepata hasira ya kupambana na kupambana kwako haimaanishi kuwa unamkomoa Bali unajisaidia wewe mwenyewe. Rudi mshukuru na umnunulie soda bariidi.
  5. S

    Business Class ina raha yake - tafuteni pesa

    Vipi nyumbani kwenu, umejenga au ndio wale siku ya msiba mnatia aibu 🙈🙈
  6. S

    TANESCO msaada tafadhali. Niko gizani

    Huduma ya NIKONEKTI haifanyi kazi ni nini tatizo tafadhali?
  7. S

    Kansa ya matiti inammaliza mke wangu nikiwa nashuhudia, sina la kufanya. Sijui kama naweza kusahau hili

    Ingia Facebook tafuta group linaitwa TIBA ASILI mule ndani utapata mawazo na ushauri huenda hata TIBA. Ingia pia TIKTOK tafuta mtu anaitwa TazPlatinumz ni Mtaalam wa tiba jaribu kumfatilia. Hajawahi kunitibu na sijui km ni tapeli au mganga kamili. Pitia page yake utafiti mwenyewe. NB: CHUNGA...
  8. S

    Kitengo cha Huduma kwa Wateja TANESCO kinafanya kazi chini ya kiwango

    TANESCo hasa MAKAO MAKUU mnajitahidi sana kutoa huduma Kwa wateja. Sijawahi kukosa huduma Toka MAKAO MAKUU na shida yangu inatatuliwa Kwa uhakika. Najua hakuna kizuri kisichokosa kasoro, Kwa Yale mapungufu mjitahidi kurekebisha.
  9. S

    Kitengo cha Huduma kwa Wateja TANESCO kinafanya kazi chini ya kiwango

    Muwe mnatembelea kurasa zao, mbona walitangaza mapema kuwa Trh. 27 usiku Hadi 28 Asb kutakuwa na maboresho kwenye mfumo wa LUKI hivyo mteja anunue umeme mapema kabla haujaisha kuepuka usumbufu(kukosa umeme). Kwa hili hawapaswi kulaumiwa.
  10. S

    Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

    Binafsi nilihitimu Shahada ya sanaa 2016 (Mwl. Wa Kisw&Hist)nikakosa ramani mtaani ikanibidi niingie VETA kusoma umeme wa majumbani Kwa miaka miwili (kozi ndefu) namshukuru Mungu sikosi ya vocha, nimejiajiri na nimeajiri vijana. Kwa Sasa nimerudi tena VETA mwaka wa 3 kusoma umeme wa viwandani na...
  11. S

    Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

    Binafsi nilihitimu Shahada 2016 nikakosa ramani mtaani ikanibidi niingie VETA kusoma fani ya Umeme wa majumbani Kwa miaka miwili(kozi ndefu). Namshukuru Mungu Kwa Sasa nimejiajiri na nimeajiri vijana. Kwa Sasa nimerudi VETA kusoma umeme wa viwandani mwaka wa 3. Jiongeze kutafuta ujuzi...
  12. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nahitaji ufafanuzi upande wa Rural area kwa hicho kilichopo pichani tafadhali
  13. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Binafsi nawapongeza TANESCO MAKAO MAKUU kwa kazi nzuri ya kuhudumia wateja kila napohitaji msaada mnahudumia kwa haraka sana. Pia napongeza TANESCO yenu ya wilaya ya TARIME mkoani MARA nao wapo vizuri wanajitahidi mno SWALI Umeme vijijini ni 27,000 kwa upande wa nguzo, mimi nipo kijijini...
  14. S

    Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

    Siwezi kuchukia, kuna mchungaji mmoja napenda kufatilia speech zake anaitwa Mch.Mitomingi(Marehemu kwa sasa) ansema UKIMPATA Kazi napiga sana, nikiwa free napitia pitia social networks kuona kilichomo mura weito na kupumzisha akili.
Back
Top Bottom