Recent content by SINENA

  1. S

    Rais Samia: Tunaowatumbua ni wale legelege

    Ndugu usiwe na hasira kiasi hicho. Just take everything normal and easy, don't stress yourself, usipende makuu. Kama yako ipo ipo kama haipo haipo.
  2. S

    Uoga: Kongamano la Katiba lazua balaa Mwanza. RPC aanza kumung'unya maneno, amsingizia Rais

    Acheni ujinga, kongamano la katiba litatusaidia nini kwa wakati huu? Shida zetu wenyewe ni kongamano tosha. Wote ni wachumia tumbo, sijaona wa kumtetea mwananchi hapo, shida ni kutaka kutawala tu ,hawana jipya.
  3. S

    Kuungua Soko la Kariakoo: Viongozi wa Soko Waliofukuzwa na Rais Samia wakamatwe

    Sasa ndio mjue madhara ya kuruhusu msongamano sokoni eti kwa kisingizio cha wanyonge soko limekaa kiajali ajali tu. Miundo mbinu yote ya soko ilikwisha haribiwa ,wala hakuna anayejali kama kuna janga linaweza kutokea kama vile moto nk. Siasa imeturudisha nyuma sana kimaendeleo, viongozi...
  4. S

    Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

    Wapigwe tu hakuna namna! Mbona JPM hawakumchezea, hadi wakakimbia nchi. Huyo Mbowe karudi tu baada ya msiba nae alikwisha kimbia nchi. Nawashangaa wanachama wa Chadema, viongozi wanawakimbia kujitengenezea hifadhi na kuwaacha wao wakitaabika na maisha huo ni ulaghai ,amkeni Chadema , hakuna...
  5. S

    Mbowe: Hatutompa muda Rais na hatukubali. Viongozi wa CHADEMA watakiwa kujiandaa kuanza mikutano nchi nzima

    Mbowe asidhani kwamba sasa anaweza kuichezea serikali atakavyo, yeye ni nani katika nchi hii? Watanzania wana matatizo yao kibao, hajawahi hata siku moja kuwasaidia wananchi hata kwa hoja tu ili tumuone kweli ni mpigania wananchi,sasa ni kipindi cha kulipa ada za wanafunzi lakini hilo halioni...
  6. S

    Ni lini Rais Samia ataanza ziara kusikiliza kero za Wananchi?

    Ndugu , Key performance Indicator ni Rais kuzunguka nchi nzima na kusikiliza kero za wananchi? Naomba uwe muelewa , usilete cheap politics katika awamu hii ya sita. Wateule wapo kwa ajili ya nini? Wananchi wanaishi kwa kero tu? Hawana shida na maendeleo? Zungumzia tunawezaje kuipaisha nchi...
  7. S

    Mbona Rais Samia anaturudisha Dar es Salaam wakati Makao Makuu ni Dodoma?

    Umbea hauna posho! Mleta mada leta hoja ya kulijenga Taifa letu, si umbeya!
  8. S

    Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

    Ndugu mleta uzi, inaonekana wazi una chembe za uchochezi katika fikra zako. Hii ni hatari kwa afya ya Taifa letu, nyinyi ndio wale wasababishi wa mauaji ya kimbari endapo hamtadhibitiwa, muda wote unataka kutengeneza mtafaruku katika nchi, hii haikubaliki, tunataka amani. Wewe unaufahamu...
  9. S

    Uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama kuu kupingwa Mahakamani, Yadaiwa hana Maadili, zuio la kuapishwa kwake laandaliwa

    Lema ni mkimbizi, afanye shughuli za wakimbizi huko,maji yalimzidi akayakimbia. Afahamu kuwaTanzania ni sovereign state,inaendeshwa kwa katiba,sheria ,kanuni na taratibu ilizojiwekea ,yeye alikwishahamia nchi nyingine, mambo ya Tanzania ayaachie watanzania wenyewe wanaoishi Tanzania kila mwaka...
  10. S

    BAWACHA hawatanii, waomba ulinzi wa Polisi, RPC Muroto maji yamfika shingoni, aonywa aache siasa

    Watu badala ya kufanya kazi ili kukuza uchumi wa nchi wamekalia poor politics zisizo na tija katika uchumi na maendeleo ya nchi, poor you!
  11. S

    Wakenya wametupiga bao sana kwenye uwekezaji nchini

    Siasa na udalali wa kisiasa Umalaya wa kisiasa Kazi ya uchuuzi wa bidhaa Udalali Boda boda Uvivu na kuishia makanisani badala ya kufanya kazi. Roho mbaya Hasad Fitina Uongo Uzushi Wivu Saa ngapi wabongo watawekeza kwenye nchi nyingine?
  12. S

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Labda unapotea mwenyewe na wenzio wachache msio elewa ,Samia anatupeleka pazuri , wewe ulitaka atupeleke jela?
  13. S

    Spika Ndugai: Huku Mtu akishakuwa Polisi anaona kuweka Watu ndani ni raha. Watu wanarundikwa tu mahabusu

    Chuki imezidi kwa Job ,punguzeni jamani! Nyinyi mko perfect? Acheni hizo, be reasonable, acheni unazi. Mnakera, yeye si angel, kuna wakati anafanya yasiyopendeza na pia kuna wakati anafanya yanayopendeza. Tuvumiliane!
  14. S

    Baba Askofu Bandekile Mwamakula asema inawezekana Job Ndugai alisoma Kitabu cha Animal Farm

    CHADEMA hamsomeki, hakuna vision wala mission, mnaendesha Chama kama familia ya mtu. Uonevu na uzandiki ndio kazi yenu, hao akina mama mlikuwa mnawabania ili iweje?
  15. S

    Kurugenzi ya Habari Ikulu ifafanueni vizuri 'Vyeti Feki' nao 'Kulipwa' kwani huku Mitaani Mbwembwe na Hofu zimetawala

    Sheria inasemaje? Mbona mnatoana macho bila sababu? Tafsiri ya sheria ifanye kazi. Pia point ya double standard ni muhimu kuizingatia, kwa nini zoezi la vyeti fake halikugusa baadhi ya kada?! Ukitaka mbwai na iwe mbwai kwa wote, sio kwa kundi fulani tu.
Back
Top Bottom