Kurugenzi ya Habari Ikulu ifafanueni vizuri 'Vyeti Feki' nao 'Kulipwa' kwani huku Mitaani Mbwembwe na Hofu zimetawala

Mkuu Genta. Salamu kwako. Niseme tu kwamba vyeti feki nikosa la kisheria. Ila, kwa namna lilivyokuwa implemented kibaguzi nasema hapana. Tena hapana narudia. Wakati wafanyakazi wengine wanasulubiwa eti uzio ulijengwa ili makonda na wanasiasa wengine, polisi na jeshini ambako ndo kuna mavyeti feki mengi eti wasiguswe. Hapo ndipo radha ya hilo zoezi ilipo haribikia
Kidogo nimekuelewa kwa Hoja tukuka.
 
Hehehehe.

Unajipa umuhimu usiokuwa nao. Takataka kabisa.

Sasa wewe hata ukinifahamu utanifanya nini wewe mbwiga??
Ukitoka hapo utapitia njia ya kule nyuma kama unaenda Silver Pipe ( Hotel ya Hanspoppe ) ili utokee pale Triple Seven au utapitia hii ya hapa Jirani na ulipo ( mlipo ) Lugalo Golf Court ili ukatokee zako Kawe?
 
Kwanza mimi napendekeza hiyo mifuko iondolewe kila mmoja awe anatunza kilichochake. Kama nimeweza kutunza mke wangu kwa miaka 20 sasa, siwezi kushindwa kujitunzia mwenyewe akiba ya uzeeeni. Hao wahanga wa vyeti feki walipwe mafao yao. Pia sisi ambao serikali inaamin tuna vyeti safi lakin kichwani hatuna kitu basi ituruhusu tuanze kujiwekea akiba zetu wenyewe. Naomba kuwasilisha.
 
Mama jana kasema tusiwe watumwa wa sheria maana sheria zipo kwa ajili yetu wanadamu
Namuomba mama Samia kwa huruma yake na utu wake, awalipe chochote kitu watu wa vyeti feki maana ni kweli walihudumu na jasho lao lipo ktk kazi waliyofanya.
Sisi wenyewe tusio na vyeti feki hatujakamilika, hata wanasiasa nao hawajakamilika maana wao kufanya udanganyifu katika masuala ya kura ni jambo la kawaida
Kabisa hata mie naunga mkono hoja, hawa ni binadamu kama wengine, je ndo tuseme hata wabunge waliopita kwa kuiba kura wasipate kiinua mgongo?
Maana wapo wengi tu na madiwani pia.
Mama awe na huruma ktk hili.
 
Sheria inasemaje?
Mbona mnatoana macho bila sababu?
Tafsiri ya sheria ifanye kazi.

Pia point ya double standard ni muhimu kuizingatia, kwa nini zoezi la vyeti fake halikugusa baadhi ya kada?!
Ukitaka mbwai na iwe mbwai kwa wote, sio kwa kundi fulani tu.
 
Kwako Ndugu na Kamarada ( Comrade ) Gerson Msigwa ( Msemaji wa Rais Ikulu ) ambaye najua pia kuwa huwa unanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums ( tena 24/7 ) hebu ama hapo ulipo nae sasa umuulize Mama au lifafanuliwe vyema nawe kwani ninayoanza kuyaona kwa 'Wahanga' nalo huku Mitaani ni makubwa.

Kuna Dada ( aliyekuwa Mwalimu katika Shule moja maarufu sana Wilaya ya Kinondoni ) ambaye ni 'Mhanga' wa kukutwa na 'Vyeti Feki' tokea asikie Taarifa hi 'Tata' sasa anazunguka Mitaani hasa kwa wale Watu waliomcheka Yeye Kukosa Ajira hiyo akiwa ameshika Chupa ya K-Vant na 'anawakoga' kwa Kuwaambia kuwa 'Watamkoma' akilipwa ( akizikamata ) Pesa zake ambazo Mwenyewe 'anatamba' kuwa atalipwa kati ya Tsh 45 Milioni hadi Tsh 55 Milioni.

Tafadhali lifafanuliwe haraka lijulikane.
Yes; there is some controversy. This needs clarification.
 
Mama jana kasema tusiwe watumwa wa sheria maana sheria zipo kwa ajili yetu wanadamu
Namuomba mama Samia kwa huruma yake na utu wake, awalipe chochote kitu watu wa vyeti feki maana ni kweli walihudumu na jasho lao lipo ktk kazi waliyofanya.
Sisi wenyewe tusio na vyeti feki hatujakamilika, hata wanasiasa nao hawajakamilika maana wao kufanya udanganyifu katika masuala ya kura ni jambo la kawaida
This issue is similar to demanding a kilo of flesh without blood. The president has to apply the concept of "creative accounting or dying a little" to resolve the dilemma.
 
Sheria inasemaje?
Mbona mnatoana macho bila sababu?
Tafsiri ya sheria ifanye kazi.

Pia point ya double standard ni muhimu kuizingatia, kwa nini zoezi la vyeti fake halikugusa baadhi ya kada?!
Ukitaka mbwai na iwe mbwai kwa wote, sio kwa kundi fulani tu.
Usisahau: Na "PhDs" nyingi ni fake.
 
Je unamuelezeaje Surgeon aliyekuwa anaitwa Hamis Mahimbo akiwa Form IV na hakuchagukiwa kwenda Form VI kwa vile hazikutosha.

Ila akatumia cheti cha Francis Kimambi kwa scholarship ya Cuba kusomea Degree ya udaktari hadi kuwa surgeon. Ametibu na kupasua wagonjwa kwa miaka zaidi ya 25. Akiwa kabakiza miaka 3 kustaafu naye kaorodheshwa kwenye vyeti FAKE kwa sababu ya cheti cha Form IV, licha ya kwamba yeye Hamis Mahimbo ndiye aliyekaa miaka zaidi ya 9 akisomea udaktari kama Francis Kunambi

Lakini aliowatibu na kuwafanyia upasuaji wapo wanaishi
Fruits of a poisonous tree
 
Huwezi chukua zile fedha bila hukumu ya mahakama. Serikali itafata utaratibu upi kuzitoa kwenye account za wahusika kwenye mifuko ya jamii?

Serikali ikizitaka zile fedha iwashtaki, mahakama itoe hukumu ya kutumia hizo fedha kuwa fidia kisha wanaweza zichukua kwa kibali cha mahakama. Kinyume na hapo serikali labda itumie unyang'anyi.

Tatizo ni kwamba mahakama ikijiridhisha kuwa serikali ilifahamu mapema juu ya uwepo wa hawa watu na wakaendelea kuwa watumishi basi hukumu inaweza kuwa tofauti kabisa.
 
Kuutetea Uhalifu na Wahalifu ni Ujuha.
Uhalifu ni pamoja na kuchukua fedha bila hukumu ya mahakama au kibabe.
Kama tumeamua kufuata sheria basi tuzifate hata kwenye kutaifisha hizo pesa. Washtakiwe mahakama itoe hukumu inayoruhusu utoaji wa hizo pesa kwenye accont za watu husika kwenye mifuko ya jamii.
 
Kwako Ndugu na Kamarada ( Comrade ) Gerson Msigwa ( Msemaji wa Rais Ikulu ) ambaye najua pia kuwa huwa unanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums ( tena 24/7 ) hebu ama hapo ulipo nae sasa umuulize Mama au lifafanuliwe vyema nawe kwani ninayoanza kuyaona kwa 'Wahanga' nalo huku Mitaani ni makubwa.

Kuna Dada ( aliyekuwa Mwalimu katika Shule moja maarufu sana Wilaya ya Kinondoni ) ambaye ni 'Mhanga' wa kukutwa na 'Vyeti Feki' tokea asikie Taarifa hi 'Tata' sasa anazunguka Mitaani hasa kwa wale Watu waliomcheka Yeye Kukosa Ajira hiyo akiwa ameshika Chupa ya K-Vant na 'anawakoga' kwa Kuwaambia kuwa 'Watamkoma' akilipwa ( akizikamata ) Pesa zake ambazo Mwenyewe 'anatamba' kuwa atalipwa kati ya Tsh 45 Milioni hadi Tsh 55 Milioni.

Tafadhali lifafanuliwe haraka lijulikane.

IMG_0189.jpg
 
Kuna Watu nilikuwa nikiwaheshimu sana hapa JamiiForums hasa kwa Michango yenu ila taratibu sasa kwa kuja na Hoja zenu zenye Huruma za Kinafiki kwa 'Wahalifu' niseme tu kuwa nitaanza Kuwadharau na kuwaona ni 'Hopeless' wakubwa tu.

Wewe katika kusoma kwako koteee haujawahi kufake?
 
Kwako Ndugu na Kamarada ( Comrade ) Gerson Msigwa ( Msemaji wa Rais Ikulu ) ambaye najua pia kuwa huwa unanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums ( tena 24/7 ) hebu ama hapo ulipo nae sasa umuulize Mama au lifafanuliwe vyema nawe kwani ninayoanza kuyaona kwa 'Wahanga' nalo huku Mitaani ni makubwa.

Kuna Dada ( aliyekuwa Mwalimu katika Shule moja maarufu sana Wilaya ya Kinondoni ) ambaye ni 'Mhanga' wa kukutwa na 'Vyeti Feki' tokea asikie Taarifa hi 'Tata' sasa anazunguka Mitaani hasa kwa wale Watu waliomcheka Yeye Kukosa Ajira hiyo akiwa ameshika Chupa ya K-Vant na 'anawakoga' kwa Kuwaambia kuwa 'Watamkoma' akilipwa ( akizikamata ) Pesa zake ambazo Mwenyewe 'anatamba' kuwa atalipwa kati ya Tsh 45 Milioni hadi Tsh 55 Milioni.

Tafadhali lifafanuliwe haraka lijulikane.
Kuna umuhimu wa kulitolea ufafanuzi hilo swala ni kweli mtaani kuna mkanganyiko
 
Back
Top Bottom