Sababu ni moja & viungo vya mwili wake vinakuwa dhaifu inapotokea anataka kuanguka huwa inakubalika kwenda mzima mzima & tofauti na mwenye ufahamu anae elewa apa kinaenda kutokea nini huwa anaforce kistokee kile kitu na ndipo anakakamaa na ajari yake kuwa mbaya zaidi....
Nikikumbuka matendo na Mambo niliyofanya huko nyuma, roho inaniuma.nakumbuka wakati nipo nasomea mafundisho ya ubatizo, nilikuwa mtu mwenye amani sana ,ndoto yangu ilikuwa ni kuuishi uhalisia wa maneno ya mungu kupitia vitabu mbali mbali hapa duniani.
Mawazo kichwani mwangu yalijenga taswira...
Naiona hali unayoipitia ndugu, bila kujigundua wewe ndo silaha tosha na hakuna mtu mwingne wa kukuvusha ulipo, basi huwez kufaulu man. Wengi wanafeli kwa kutegemea kampani za watu fulani ndio zitawatoa.
Miaka 4 nmeishi kama shetani nisie na mbele wala nyuma , hiyo ni baada ya uko nyuma kuchezea hela . Nilizani sifa walizokuwa wananipa walimaanisha nikajiona napendwa kila kona napopita yeyote akiniomba buku Nampa buku mbili, wa elfu tano Nampa bila kujiuliza mara mbili , kumbe ilikuwa inapendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.