Tractor zote ni nzuri shida inakuja kwenye vitu vifuatavyo:-
Location: wewe unataka uitumie eneo gani tanzania hii kwa mfano unaishi maeneo yenye ardhi ngumu sana unahitaji tractor yenye nguvu yaani 4WD. Kampuni nzuri ni SONALIKA, MAHINDRA, MASSEY, SWARAJ (Kwa maeneo yenye ardhi ngumu sana)
Kwa...
iko hv mi nasomea hii course hapa kcmc na content za hii course ni kama ifuatavyoo
.kuna kituuu kinaitwa disease coding
.statistics and census
.research
.kuna database management
.kuna filing hapa ndioo kuna mambooo mengii sana....
yaaani ni mengi lakini vyuooo kwa kwelii vinavyotoa course...
Swala n kuboresha mfumo wa elmu uwe wa vitendo zaid kuna watu wanamalza degree za IT hajui hata kitu chochote sasa usitegemee kwamba taifa litaletewa mabadlko na watu wa namna hiyo.
Inasemekana kwamba Biligates, mmiliki wa kampuni ya Microsoft aliacha chuo akiwa mwaka wa pl au wa 1 kama...
da ni noma vjana wa xaxa 2kijikita ktk kilimo ndio njia pekee itakayo 2toa mm nampango wa ku go mkoa wa katavi kuna jamaa yangu kafaidka na fursa hii mm niko tabora kilimo huku ni kama tabu kidogo coz place nilipo igunga kilimo kinacholipa xana ni
mpunga place ni mwanzugi blplm ni bei ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.