Wanaanga kwenda anga za mbali hilo tukio hamliamini na kuita maigizo,ila kushikwa began na nyeti zako kupotea hilo mnaliamini.Hadi kukimbilia kuvaa pini mikononi kama imani ya kuzuia nyeti zisipotee!!
Nimetukana tusi kubwa sana!! Yaani huyo mwanamke anamuambia mumewe ampigie x wake ili athibithishe kuwa hawakulala pamoja huko safarini! Pia akiwa safarini anampigia mumewe video call kama uthibitisho kuwa amelala mwenyewe kwenye room,ni namna gani amemuona mumewe fala hadi anamfanyia upuuzi huo...
Aisee!! Pole sana,huyo ndio mwanamke wako wa kwanza katika maisha ya mapenzi? Maana naona unatumia sana hisia badala ya akili kwenye kufanya maamuzi hasa ya hatma ya maisha yako !!!
Naona my wife wako,fridge lake haligandishi( hajui kutunza siri).Anyway mvumilie na kumpa ukweli wake yale anayokukwaza,ila usiache hiyo mipango kufanya kwani faida ni yenu japo yeye kifua chake ni kama chujio la nazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.