Na kwa kuwa tayari wameshakuwa wengi nchini. Kagame ana jambo.
Hapa namuona mkuu wa uhamiaji akikoroma usingiz wa Porno.
Nahisi kabisa watu nimesoma nao wakapata na mkopo sio raia wanajifanya waha kutoka kigoma.
Idara hii ifanye uchunguzi wa baadhi ya watz raia na viongoZi wakuu wa vitengo na...
Kwa upande wa Tanzania sio Mitandao tu hata Bank loan wanaibia raia yaani nawaza kuhama nchi hii kwa muda hadi hali itakapotengemaa. Yaani viongozi ni kama mazombie yapoyapo tu.
Kuna wkt nawaza hivi ?au ndio maana mange anawatukanaeee? Yaani waziri yupo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.