Tunajua, dunia yote ni shahidi: Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni mradi wa CCM(ASP,TANU), ulioimbwa kwa sauti yake na kuchezeshwa kwa ngoma yake. Lakini upepo wa nyakati hubadilika, na hakuna kinachodumu milele. Siku upinzani utakapovaa joho la mamlaka, Muungano huo utasimama mbele ya...
Urusi,Roman Empire,etc etc zote zilisambaratika. Samia ukitaka kuona maendeleo ,furaha, na ujirani mwema wa watanganyika na wanzanzibari vunja huu muungano. Mama sambaratisha muungano leo.
Taratibu za international Maritime boundaries inaipa Zanzibar eneo zima la bahari kuu pamoja na nusu ya Zanzibar channel. Tanganyika mtakula wapi uchumi wa bluu? Mamlaka kamili Zanzibar lazima!
Kwa akili zako mbio za mwenge ndio special. Multi billion project ambayo itakuza uchumi wa Tanzania na kutoa ajira kwa maelfu ya vijana.sio chochote sio lolote. Umevurugwa weye.
Uzoefu wa kutua kwenye mwezi wanao nashangaa nini kinapelekea Marekani kwenda kwenye nwezi hatua kwa hatua. Ndiyo maana tunasisitiza Appolo mission ni mchezo wa kuigiza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.