Nadhani awali kulikuwepo mtiririko wa issues ambazo zimechangia hadi daktari 'kugaragaza' chombo cha dola. Hako ka minor issue is the straw that broke the camels back so to speak.
Acha sarcasm, Sharpeville bullet in the back day makaburu waliua wazalendo 60 - dunia nzima hadi leo inakumbuka Sharpeville massacre. Vyombo vyetu vya ulinzi viliua Watanzania wangapi 29 Oct? Hili siyo jambo la utani wa Simba na Yanga.
Warioba anazungumzia matumizi ya bunduki dhidi ya wananchi.
Mnawaua kwa risasi zilizonunuliwa kwa kodi za walipa kodi—yaani kwa pesa zao wenyewe.
Inasikitisha zaidi kuona chombo kinachopaswa kulinda wananchi kikitumia rasilimali walizochangia dhidi yao wenyewe.
📖
Biblical ya watumwa
Mwaka 1807, Slave Bible ilichapishwa kwa ajili ya watumwa weusi katika makoloni ya Uingereza.
Sehemu zilizohusu ukombozi, usawa na uhuru ziliachwa au kuondolewa—kama simulizi la Musa kuwaokoa Waisraeli kutoka utumwani na Wagalatia 3:28.
Lakini aya za utii kwa mabwana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.