Recent content by simplemind

  1. simplemind

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    Kwa akili zako mbio za mwenge ndio special. Multi billion project ambayo itakuza uchumi wa Tanzania na kutoa ajira kwa maelfu ya vijana.sio chochote sio lolote. Umevurugwa weye.
  2. simplemind

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    https://youtube.com/watch?v=PzzsPby2oEM&si=j5_UhzHJujzGXs0h Hii imetulia .
  3. simplemind

    JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Killing leaders ≠ changing the regime.Mfumo wa utawala upo pale pale. Intact kama jana.
  4. simplemind

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwa Mchambuzi: Neil Armstrong aligoma Kuapa kwa Biblia kwakua Moon Landing ni tukio la uwongo

    Uzoefu wa kutua kwenye mwezi wanao nashangaa nini kinapelekea Marekani kwenda kwenye nwezi hatua kwa hatua. Ndiyo maana tunasisitiza Appolo mission ni mchezo wa kuigiza.
  5. simplemind

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwa Mchambuzi: Neil Armstrong aligoma Kuapa kwa Biblia kwakua Moon Landing ni tukio la uwongo

    Pamoja na hatua kubwa ya teknolojia iliyopiga Marekani, Artermis moon mission ya juzi ilizunguka mwezi tu. Landing bado parefu.
  6. simplemind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kashfa ya Mafuta Kenya: Mabilioni ya pesa yadaiwa kupotea kupitia uingizaji wa mafuta nje ya mfumo rasmi

    Kashfa ya Mafuta Kenya Mabilioni ya pesa yanadaiwa kupotea kupitia uingizaji wa mafuta nje ya mfumo rasmi. Iliundwa madai ya uhaba bandia, bei zikapandishwa, na baadhi ya maafisa wakahusishwa. Takwimu muhimu: • Kiasi kinachochunguzwa: takriban KSh 4B – KSh 8B+ • Tofauti ya bei ya mafuta: hadi...
  7. simplemind

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Mwanachama wa kudumu flat earth society mzunguko wa kasi inahusu? Ignorance is bliss .
  8. simplemind

    JamiiForums Tanzania DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

    Tanda la sita kwa sita halizai haramu. Tukubali matokeo .
  9. simplemind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

    Pleasure vs reality principle - dhibiti tamaa za haraka na fuata uhalisia wa maisha.
  10. simplemind

    JamiiForums Tanzania Nyasi zinapendezesha sana neighborhoods za Marekani

    Afrika tunajenga vijijela mitaani,kuta ndefu na high voltage wire juu.
  11. simplemind

    JamiiForums Tanzania Duh,Ugeni wa ghafla

    Hujazaa tu pia uliwekeza. Hatimaye Investment inalipa.😀
  12. simplemind

    JamiiForums Tanzania Waziri Mstaafu wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis: Vita bila mkakati ni upumbavu

    Mlango-Bahari wa Hormuz (Strait of Hormuz) ndio njia kuu pekee ya biashara duniani iliyopewa jina la mungu. Jina hilo linatokana na Hormoz, ambalo ni namna ya Kiajemi cha Kale (Middle Persian) ya kumtaja Ahura Mazda – mungu wa dini ya Zoroastrian anayehusishwa na hekima, nuru, na mpangilio wa...
  13. simplemind

    JamiiForums Tanzania Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Taarfa muhimu nyeto nation Kupiga punyeto ni jambo la kawaida na lenye afya, halina madhara ya mwili wala akili. Haisababisha upofu, utasa, au udhaifu wa mwili. Faida zake ni pamoja na kupunguza msongo wa mawazo, kuboresha usingizi, na kuelewa mwili wako vyema. Tatizo linatokea tu ikiwa inakuwa...
  14. simplemind

    JamiiForums Tanzania Waziri Mstaafu wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis: Vita bila mkakati ni upumbavu

    Israeli opposition warns wars pushing army to breaking pointIsrael’s opposition leader Yair Lapid has accused Prime Minister Benjamin Netanyahu of driving the country into a “security catastrophe” as the war intensifies.Speaking on the 27th day of Israel’s war on Iran and Lebanon, Lapid said the...
Back
Top Bottom