Recent content by simplemind

  1. simplemind

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Nadhani awali kulikuwepo mtiririko wa issues ambazo zimechangia hadi daktari 'kugaragaza' chombo cha dola. Hako ka minor issue is the straw that broke the camels back so to speak.
  2. simplemind

    JamiiForums Tanzania Muhadhiri wa UDOM, Melkisedek Kaijage aachiwa huru, Apewa Masharti

    Nini hii? Mambo mengine usumbufu tu.
  3. simplemind

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Daktari aliyempiga Polisi usalama barabarani hajulikani alipo

    Ametoka scene of "crime" buheri wa afya. Amepata ajali njiani kwenda kituoni?
  4. simplemind

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Daktari aliyempiga Polisi usalama barabarani hajulikani alipo

    Kwanini asifikishwe mahakamani?
  5. simplemind

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Amani hailetwi na bunduki hata utumie risasi ngapi, sasa hivi tunafikiri amani tunaweza kuidumisha kwa kutumia polisi

    Acha sarcasm, Sharpeville bullet in the back day makaburu waliua wazalendo 60 - dunia nzima hadi leo inakumbuka Sharpeville massacre. Vyombo vyetu vya ulinzi viliua Watanzania wangapi 29 Oct? Hili siyo jambo la utani wa Simba na Yanga.
  6. simplemind

    JamiiForums Tanzania Hii ya leo kali sana sana

    Kesi ya uhaini.
  7. simplemind

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Amani hailetwi na bunduki hata utumie risasi ngapi, sasa hivi tunafikiri amani tunaweza kuidumisha kwa kutumia polisi

    Warioba anazungumzia matumizi ya bunduki dhidi ya wananchi. Mnawaua kwa risasi zilizonunuliwa kwa kodi za walipa kodi—yaani kwa pesa zao wenyewe. Inasikitisha zaidi kuona chombo kinachopaswa kulinda wananchi kikitumia rasilimali walizochangia dhidi yao wenyewe.
  8. simplemind

    JamiiForums Tanzania Ramani Mpya ya Afrika

    We don't mean to brag, we are the greatest!
  9. simplemind

    JamiiForums Tanzania Ramani Mpya ya Afrika

  10. simplemind

    JamiiForums Tanzania Yuda Fever: Nyumba nyeupe haikaliki analala Zanzibar

    Naomba link ya Wimbo "Mzanzibari katia mate"
  11. simplemind

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa Makamu Rais Mstaafu Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi Yuko Salama, Hajazuiliwa, Hajashikiliwa ni Ameamua Kutulia, Kunyamaza!

    Kweli si kweli? Wapi Kigamboni kama ilivyokuwa kwa Abood Jumbe? Nchimbi manifest blaza ,fitina nyingi mtaani.
  12. simplemind

    JamiiForums Tanzania Waafrika wameanza kuzipuuzia dini za Wazungu na Waarabu

    📖 Biblical ya watumwa Mwaka 1807, Slave Bible ilichapishwa kwa ajili ya watumwa weusi katika makoloni ya Uingereza. Sehemu zilizohusu ukombozi, usawa na uhuru ziliachwa au kuondolewa—kama simulizi la Musa kuwaokoa Waisraeli kutoka utumwani na Wagalatia 3:28. Lakini aya za utii kwa mabwana...
  13. simplemind

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ni mwanaCCM hai?

    Tatizo wewe ni mwana ccm. Warioba ni Mtanzania kwanza,mwana ccm pili. Hivyo ndivyo ilivyo ukitaka usitake.
Back
Top Bottom