Recent content by simplemind

  1. simplemind

    JamiiForums Tanzania Toka kuanzishwa kwake Chadema haijawahi kuwa na Ushawishi Tanzania Zanzibar

    cuf chimbuko lake Zanzibar, ACT imepata nguvu Zanzibar baada Maalim kuhamia ACT kufatia msaliti Lipumba kuvuruga CUF.
  2. simplemind

    JamiiForums Tanzania Watanganyika msinug'unike, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utavunjika wenyewe automatically

    Tunajua, dunia yote ni shahidi: Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni mradi wa CCM(ASP,TANU), ulioimbwa kwa sauti yake na kuchezeshwa kwa ngoma yake. Lakini upepo wa nyakati hubadilika, na hakuna kinachodumu milele. Siku upinzani utakapovaa joho la mamlaka, Muungano huo utasimama mbele ya...
  3. simplemind

    JamiiForums Tanzania Watanganyika msinug'unike, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utavunjika wenyewe automatically

    Urusi,Roman Empire,etc etc zote zilisambaratika. Samia ukitaka kuona maendeleo ,furaha, na ujirani mwema wa watanganyika na wanzanzibari vunja huu muungano. Mama sambaratisha muungano leo.
  4. simplemind

    JamiiForums Tanzania Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

    99.9999999% ya wanzazibari waislamu. Watanganyika practice religious tolerance.
  5. simplemind

    JamiiForums Tanzania Katiba haina hadhi

    Sawa,soma hapo juu nusu ya Zanzibar channel.
  6. simplemind

    JamiiForums Tanzania Katiba haina hadhi

    Taratibu za international Maritime boundaries inaipa Zanzibar eneo zima la bahari kuu pamoja na nusu ya Zanzibar channel. Tanganyika mtakula wapi uchumi wa bluu? Mamlaka kamili Zanzibar lazima!
  7. simplemind

    JamiiForums Tanzania Wingi wa maarifa na hatari YA sonona

    Ignorance is bliss.
  8. simplemind

    JamiiForums Tanzania Namuombea dua Rais Samia arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida

    Hivi misaada ya west imepungua hadi kutembeze bakuli Kremlin?
  9. simplemind

    JamiiForums Tanzania Aliyegomea uteuzi wa Rais aburuzwa Mahakamani kwa Utakatishaji Fedha na wenzake. Je, ni kweli alitakatisha fedha au kuna kisasi?

    Adui nambari moja wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. On more serious note ,afadhali utawala mkoloni kuliko wa ccm. CCM nyoko sana.
  10. simplemind

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    Kwa akili zako mbio za mwenge ndio special. Multi billion project ambayo itakuza uchumi wa Tanzania na kutoa ajira kwa maelfu ya vijana.sio chochote sio lolote. Umevurugwa weye.
  11. simplemind

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    https://youtube.com/watch?v=PzzsPby2oEM&si=j5_UhzHJujzGXs0h Hii imetulia .
  12. simplemind

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Killing leaders ≠ changing the regime.Mfumo wa utawala upo pale pale. Intact kama jana.
  13. simplemind

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwa Mchambuzi: Neil Armstrong aligoma Kuapa kwa Biblia kwakua Moon Landing ni tukio la uwongo

    Uzoefu wa kutua kwenye mwezi wanao nashangaa nini kinapelekea Marekani kwenda kwenye nwezi hatua kwa hatua. Ndiyo maana tunasisitiza Appolo mission ni mchezo wa kuigiza.
  14. simplemind

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwa Mchambuzi: Neil Armstrong aligoma Kuapa kwa Biblia kwakua Moon Landing ni tukio la uwongo

    Pamoja na hatua kubwa ya teknolojia iliyopiga Marekani, Artermis moon mission ya juzi ilizunguka mwezi tu. Landing bado parefu.
Back
Top Bottom