Sawa ila hawa badala ya kuikuza democracy wana contaminate democracy na ujinga jinga wao. Moja ya prerequisite ya healthy democracy ni kuwepo watu walio elemika.
Afya zetu zipo mashakani sio kwa sponji tu. Tembo 15 waliokufa mbuga ya wanyama Amboseli inaminika walikula nyanya zilizopuliziwa dawa ya kuua wadudu. Binadamu tupo salama kula mazao yaliyopuliziwa madawa ya kila aina?
Kwa propaganda jeshi letu halijambo. Kwa vitendo pia linatisha -historia ya usaliti kwa watanzania dhahiri -usafi wa jiji linawahusu ? CCM inawadhalisha wajeda, foot soldier hadi majenerali.
Droni za mashambulizi ya masafa marefu, na droni za upelelezi zimeonyesha kuathiri kwa kiwango kikubwa matokeo ya mapigano vitani. Mfano hai, vita vya Ukraini na Urusi.
Hizo ndizo athari za Siasa za chama tawala kujipenyeza hadi chuo kikuu. Casualty wa mwanzo academic freedom-dead and buried. Best minds wanaajiriwa ugenini tunabakia na wasemaji wakuu wa chama -Benson type.
If Tanzania fails to satisfy CMAG, possible next steps could include:
remaining on CMAG's Formal Agenda under intensified scrutiny;
stronger diplomatic engagement or public criticism;
recommendations for further Commonwealth measures; or
in the most serious circumstances, consideration of...
Tatizo chawa. Wanatumikia mamlaka ya kuteua badala kutumikia wananchi,sheria na katiba. Ogopa CHAWA(hasa wa vyombo vya ulinzi na usalama) ,hawa wanatuuza utumwani kwenye nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.