Recent content by simplemind

  1. simplemind

    JamiiForums Tanzania Dk Muchunguzi uchawa wote kusifia uovu wa CCM ni kwa sababu alisoma na Rais Samia. Taifa letu halitapata wasomi kama akina Sengondo Mvungi (RIP).

    Sawa ila hawa badala ya kuikuza democracy wana contaminate democracy na ujinga jinga wao. Moja ya prerequisite ya healthy democracy ni kuwepo watu walio elemika.
  2. simplemind

    JamiiForums Tanzania Kukaanga Chapati kwa kutumia Sponji daktari Koshuma asema magodoro ya kisasa yanatengenezwa kwa povu lenye kemikali za viwandani

    Afya zetu zipo mashakani sio kwa sponji tu. Tembo 15 waliokufa mbuga ya wanyama Amboseli inaminika walikula nyanya zilizopuliziwa dawa ya kuua wadudu. Binadamu tupo salama kula mazao yaliyopuliziwa madawa ya kila aina?
  3. simplemind

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Kwa propaganda jeshi letu halijambo. Kwa vitendo pia linatisha -historia ya usaliti kwa watanzania dhahiri -usafi wa jiji linawahusu ? CCM inawadhalisha wajeda, foot soldier hadi majenerali.
  4. simplemind

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Droni za mashambulizi ya masafa marefu, na droni za upelelezi zimeonyesha kuathiri kwa kiwango kikubwa matokeo ya mapigano vitani. Mfano hai, vita vya Ukraini na Urusi.
  5. simplemind

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Hivi weredi wa jeshi tutauangalia kwa vigezo gani ? Ratio ya foot soldier to Drones. Future is Electronic warfare boosted withAI.
  6. simplemind

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Serikali inafanya tathmini ya Tamko la Jumuiya ya Madola kuhusu Lissu, tutawapa majibu

    Wabanwe tu, ushiriki wa Tanzania michezo ya jumuiya ya Madola uziiliwe tu
  7. simplemind

    JamiiForums Tanzania Ofisi za Maprofesa na Madaktari wa UDSM zinathibitisha namna Taifa lilivyofeli. Je, hata majumbani kwao wanaishi kwa dhiki hivi?

    Hizo ndizo athari za Siasa za chama tawala kujipenyeza hadi chuo kikuu. Casualty wa mwanzo academic freedom-dead and buried. Best minds wanaajiriwa ugenini tunabakia na wasemaji wakuu wa chama -Benson type.
  8. simplemind

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia azindua ujenzi wa meli nne za mizigo, Bandari ya Kigoma | 20 Julai, 2026

    Kutoongea na hadhara ni mradi wa kimkakati.
  9. simplemind

    JamiiForums Tanzania Mapfumo Defends US$1 Million Chivayo Deal, Says His Principles Remain Intact

    Wicknell Chivayo said: I will give you an offer you cannot refuse. Thomas Mapfumo said:Try me. The rest is history.
  10. simplemind

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nilishamsikia mtu mmoja mkubwa tu wa nchi moja anasema sisi yoyote anayeendelea kimaendelea kwa kasi huyo ni adui yetu

    Action speaks louder than words. Tuanze kwa kususia misaada ya maendeleo ya wakubwa X.
  11. simplemind

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    If Tanzania fails to satisfy CMAG, possible next steps could include: remaining on CMAG's Formal Agenda under intensified scrutiny; stronger diplomatic engagement or public criticism; recommendations for further Commonwealth measures; or in the most serious circumstances, consideration of...
  12. simplemind

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Katambi, DPP, IGP na wenzao Waburuzwa Mahakamani

    Tatizo chawa. Wanatumikia mamlaka ya kuteua badala kutumikia wananchi,sheria na katiba. Ogopa CHAWA(hasa wa vyombo vya ulinzi na usalama) ,hawa wanatuuza utumwani kwenye nchi yetu.
  13. simplemind

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Naogopa sana,hawa wanaweza kumnyakua mama nakumfikisha The Hague post haste.
  14. simplemind

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: CCM na ACT Wazalendo wafikia Maridhiano ya Kisiasa

    Tamko la maridhiano lipo vague sana. Wameridhiana nini hasa?
Back
Top Bottom