Siasa za Afrika Tanzania ikiwemo ni kinyume na uhalisia wa science ya siasa yenyewe. Ukisoma misingi ya science ya siasa kwenye vitabu halafu ukajaribu kuviapply Afrika vinagoma kwa %
Nadhani upinzani wa Tanzania Leo upo hatua mhimu na ngumu katika group/organization formation ambayo ni "storming stage" na kwa wapinzani wachache watakaoweza kupita kipindi hiki wataimarika zaidi siku za usoni. Taasisi nyingi uzoefu unaonyesha zinakufa katika stage hii
Sisi waafrica hasa watanzania tuko vizuri kwa kutafuta visingizio kwanini mambo hayaendi vema. Tukubali tu kwamba tatizo letu ni ubinafsi uliopitiliza hakuna cha kusingizia wazungu
Inaumiza sana, ikizingatiwa kuwa Ukilaza wa wanafunzi wengi umechangiwa na Serikali ya John Pombe Magufuri. Hivi mwanafunzi aliyesoma secondary ya kata, isiyokuwa na walimu, vitabu na vifaa vya kujifunzia then akapata division III au IV. Halafu mwenzake amesoma shule bora za St. Etl na kupata...
Wakati watu wengine duniani kote wanajitahidi kupiga hatua kwenda mbele sisi tunapiga kurudi nyuma. Mbaya zaidi wasomi wamejawa na unafiki na kujipendekeza ili watuliwe kuwa.......
Bandiko zuri hakika. Watazania ni watu wa ajabu, tunakawaida ya kufikiri kuwa mara mtu akichaguliwa/teuliwa anabadilika kuwa superhuman jambo ambalo si kweli hata kidogo.
Polepole ni mchambuzi mzuri ila chuki binafsi zinamnyima ubora wake, anapaswa ajue kwamba mfumo mbovu lazima utamwadhiri hata malaika na mfumo bora utmbadilisha hata shetani. Hebu fikiri Maguri amekuwa raisi waziri wa madini Wiliamu ngereja, mwanasheria mkuu mtemi chenge na Waziri wa fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.