Kwakweli zote hazina uhalisia, ila kidogo olimpus imejitahid kuliko whd coz white house ya marekani haiwez vamiwa kirahisi vile, labda wangeigiza ikulu za Africa......mtazamo tu#
Jaman, dini zote ni njia za kutupeleka kwa Muumba wetu ambao sote tunamuabudu, Peace n Love to each other will qualify us towards there, tusichukiane wala kubaguana Jaman.
Get to know this, ata dunia nzima ikiungana haiwezi kumpiga mmarekani, Obama tu ndo kaamua kutumia diplomasia angekua bushi ingekua habari nyingine, My point is, sioni aja ya raisi wa syria kuendelea kukaa madarakani wakati watu wanazidi kufa na influx ya wakimbizi kuongezeka, ata kama syria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.