mwaxxxx
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 858
- 246
Safi sana US piga hao rodents wa syria hawana cha maana hao zaidi ya kutaka kuua watu kwa sumu. Go USA go......
Haters keep hating..............hahhahahahha
Mwenzio akinyolewa ......
Safi sana US piga hao rodents wa syria hawana cha maana hao zaidi ya kutaka kuua watu kwa sumu. Go USA go......
Haters keep hating..............hahhahahahha
Tuandae diesel na petrol ya kututosha kwa mwezi mzima,yasije tokea kama yale ya Iraq,vituo vingi vya mafuta vitaanza kuficha mafuta kwa nia ya kuuza kwa faida kubwa zaidi pale itakapotokea shortage.
Chezea njaa wewe.Hawa waarabu ni mazuzu kweli, marekani kafanya upuuzi iraq hakukaliki wako bize wanuana, kafanya hivyo Libya, kafanya hivyo Misri, sasa anaenda Syria jamaa hawastuki. Wako na ka-umoja kao HAKANA MAANA kanaitwa arab league kale sjui kaLiundwa na marekani kama iilivyo bakwata kwa CCM.
Hawa waarabu ni mazuzu kweli, marekani kafanya upuuzi iraq hakukaliki wako bize wanuana, kafanya hivyo Libya, kafanya hivyo Misri, sasa anaenda Syria jamaa hawastuki. Wako na ka-umoja kao HAKANA MAANA kanaitwa arab league kale sjui kaLiundwa na marekani kama iilivyo bakwata kwa CCM.
Mwenzio akinyolewa ......