Recent content by Simfwenga

  1. Simfwenga

    Mwanaume changia hapa, mwanamke atakayekupa like zama naye PM

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Daah! Sent from my SM-N900V using JamiiForums mobile app
  2. Simfwenga

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    Hawa jamaa ni very incompetent katika udhibiti. Sasa nalo wanataka kulifanya kuwa kosa letu. They must stop making excuses and start doing their job right. Sent from my SM-N900V using JamiiForums mobile app
  3. Simfwenga

    Njombe Mji yaichapa Azam FC mbili kwa nunge

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Simfwenga

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Wamebebwa sana hawa jamaa.... Sanaaaaa! Wanaingia na kutoka kama kwao humu..... Wachawi wetu ni sisi wenyewe.
  5. Simfwenga

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Kiongozi, kuna bwana alikaa miezi mitatu porini anapitisha fiber cable. Na hiyo njia ilikuwa ni ngumu balaa unapita kwenye misitu so kuna kufyeka, sehemu nyingine unapita kwenye miti ya watu ya kupandwa hivo kunakuwa na mikwaruzano kibao. Jamaa ile amemaliza tu hakukaa hata mwezi wakamfukuza eti...
  6. Simfwenga

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Kumlipa laki 4 mtu mwenye degree na anayefanya kazi masaa zaidi ya 12 ni matusi ujue!
  7. Simfwenga

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Yani hawa jamaa makosa yoteeee wanayo aisee, yote ambayo yanatambulika kama makosa nchi hii hawa jamaa wanayo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. Simfwenga

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Daah... Hawa jamaa ni wanyama and I mean it.
  9. Simfwenga

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Na walikuwa na mpango wa kuingiza materials zaidi kuendelea na ujenzi, regime iliyokuja imewanyosha wametia breki kwanza. Ila regime iliyopita ulikuwa mpeto tu..... Walikuwa wanakuzingua na wanakwambia tupeleke popote. Nchi ilikuwa mikononi mwa hawa jamaa aisee.
  10. Simfwenga

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Nyie furahieni bando tu, lakini kiukweli kuna machozi mengi na machungu ya watanzania wenzenu tena maelfu juu ya mtandao huu. Watu wengi sana wameumia kazini na hao halotel hawakutoa hata senti tano kuwatibu. Yaani mtu anavunjika mguu wana mpa laki 5 halafu inakuja kukatwa kwenye mshahara...
  11. Simfwenga

    Kisutu: Mkurugenzi Mtendaji wa Halotel afikishwa Mahakamani kwa uhujumu uchumi

    Wanyongwe tu hawa! Hawana maana. Wavietnam wezi sana hawa.
  12. Simfwenga

    Uzinduzi wa Kampuni ya simu ya HALOTEL Live TBC

    Tatizo watanzania tunapenda starehe kuliko kazi. Wenzetu wanaendelea kwasababu wanawekeza katika kazi. Lakini sisi tunataka kazi ndogo tulipwe milioni. Hawa jamaa niliwaona sehemu wanapandisha mnara, wale jamaa huwa wanalala hapo hapo hata kama ni kichakani. Wanawekeza katika kazi na si kama...
  13. Simfwenga

    Uzinduzi wa Kampuni ya simu ya HALOTEL Live TBC

    Hahaha wabongo bwana, kutwa kucha kulalamika. Kazi zilikuwa tatizo wakawa wanalalamika, amekuja mvietnam na pesa zake kutoka kwake na kila kitu chake, kaleta ajira kibao bado wanalalamika. Technology inayotumika ni ya quality kubwa kuliko mitandao mingine na uwekezaji wake ni gharama zaidi ya...
Back
Top Bottom