Inachangiwa kivipi? Ndio hasa walimtuma huyo askari kudai kisicho haki kwake? Acheni mchezo wa kusingizia wapinzani. We huoni nchi inavyoliwa kinyama na wachache kwa kivuli cha amani na utulivu. Acha zako wewe kama una unakatiwa mkate na wala keki shauri yako, wananchi wamechoka.
Hapa kwetu songea, ofisi nyingi TTCL ndio net. provider. Imenichefua hii taarifa kwani toka ijumaa ofisi nyingi zimeshindwa kutoa huduma kwa tatizo dogo lenye hadithi kibao.
Tumeshindwa fanya kazi system zote chali hadi aibu kwa wateja na usumbufu mkubwa achilia mbali upotevu wa mapato kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.