Nini maana ya ukweli?
Ukweli ni dhana tu ya mtu binafsi..Mfano Unaweza sema mwanamke flani ni Mzuri,huo ni ukweli wako lkn kwa mtu mwingine anaweza asimuone kama huyo mwanamke ni mzuri!!
Hizo biashara zote zinahitaji usimamiz wa karibu...usijaribu kufanya hizo biashara
Mm ni mwajiriwa na biashara nnayoifanya bila stress yeyote ni ya kununua na kuuza vyombo vya moto...gari,bajaji hata pikipiki
Nanunua kwa watu wanaouza kwa bei mteremko,naipimp kdg nauza kwa bei ya juu
Hii...
Yan unajua kbsa umemzid mumeo mshahara then unakuja na matakwa kibao...unajichagulia the easy way out...lipa ada mm ntalipa usafiri na uniform!!
Hv unajua akili zetu wanaume zinavyofanya kazi kwel!?
Swal moja naomba kukuuliza...hyo shule ni nani aliye suggest!?
Haya mambo najua watu wengi wamekumbana nayo,kuibiwa simu,Tv,Radio,Pikipiki n.k
Mimi nakumbuka mwaka 2017 nipo Mbeya,kuna wafanyakazi wenzangu wawili, walipanga nyumba nzima maeneo ya Iwambi makaburini(kwa mtu wa Mbeya anafahamu mazingira ya kule,nyumba za kishua flani hv)mm nilikuwa Iwambi ya...
Haya mashimo simshaur mtu ayachimbe kama sehem aliyopo level ya maji ipo juu...ni ya kipuuzi sana...mm niliyachimbaga haya...kisa gharama ndogo...baada ya mvua kunyesha lilijaa...hapo nyumba haijaanza kutumiwa...kumwita alienijengea longolongo nyingiii...maneno mengiiii
Nikapiga chini nikajenga...
Kakibanda kangu kamekula gharama zifuatazo
Mbao za kupaulia ambao zilitosha mpka kwenye drafi- 4.2 milion(niliagiza mwenyewe iringa)...ningenunulia Dar ingefika milioni 6 kasoro
Bati ni ALAF MAX COVER 28 G,ilikula 10.2 milioni
Misumari,sijui gharama za usafiri kutoa mbao ziliposhushiwa hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.