aisee acheni tu haya mambo yapo believe kuna dada alikuwa anaenda mwenzini kila siku mpaka kwenda kumpigia magoti mama wa kizaramo
Kwa ufupi uku kwetu uswahilini jina nahifadhi kulikuluwa na baba la kihaya la haja watoto walisoma st Mary's enzi hizo wote wanne yani alikuwa na fuba si unajua...
hamna mtu mbaya kama Maalim Seif anawuatumia tu yeye full kiyoyozi kwenye benz hivi si alishinda uchaguzi 2010 kilichomfanya akaubaliane na maombi ya CCM nini hv mnadhani hatujui!!!!!!!!!!!!! Muwe makani na baadhi waarabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.