Kweli mkuu, ni kama ulikuwa akilini mwangu. Huwa pia najiuliza vipepeo waliendaga wapi? Nakumbuka nilipokuwa mdogo walikuwa wengi sana. Tulikuwaga tunatengeneza mfano wa kipepeo cha karatasi nyeupe, tunafunga kamba tunaanza kuzunguka na kukimbia nacho, vipepeo wengi sana,walikuwa wanatufata kwa...
Mkuu, nimekusoma tangu mwanzo wa uzi wako. Kila nikosoma roho yangu inaniambia wewe sio mtu wa kawaida. Ukute tunaongea na Malaika humu. Tatizo watu tu wabishi sana, hata nyakati za kurudi kwa YESU zikifika, kuna ambao wataendelea kubisha tu. MUNGU akubariki..
Ukishakuwa mtu mzima usilaumu wazazi wako, sijui hawakufanya nini na nini, tumia akili kupambana na kutatua changamoto za wakati uliopo, na kufanya vizuri zaidi kwa watoto wako, ili wasije kukulaumu na wewe. Kuendelea kulaumu yaliyopita bila kutafuta soln kwa yaliyopo na yajayo hakusaidii sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.