Recent content by simakoku

  1. S

    Kuadimika kwa Vipepeo, Mara ya mwisho kuona kipepeo lini ?

    Kweli mkuu, ni kama ulikuwa akilini mwangu. Huwa pia najiuliza vipepeo waliendaga wapi? Nakumbuka nilipokuwa mdogo walikuwa wengi sana. Tulikuwaga tunatengeneza mfano wa kipepeo cha karatasi nyeupe, tunafunga kamba tunaanza kuzunguka na kukimbia nacho, vipepeo wengi sana,walikuwa wanatufata kwa...
  2. S

    PostGE2025 D9 imeleta taharuki ya Mafuta, usafiri, vyakula & Condoms

    Condom si unaweza kuvumilia tu mkuu, sio za lazima,sana kwamba utakufa. 😅 Hivyo vingine sawa
  3. S

    Ushuhuda wa kweli na habari njema kwa taifa la Tanzania

    Mkuu, nimekusoma tangu mwanzo wa uzi wako. Kila nikosoma roho yangu inaniambia wewe sio mtu wa kawaida. Ukute tunaongea na Malaika humu. Tatizo watu tu wabishi sana, hata nyakati za kurudi kwa YESU zikifika, kuna ambao wataendelea kubisha tu. MUNGU akubariki..
  4. S

    Yuko wapi FreeMan Mbowe kamanda wa anga?

    Mkuu nje ya mada. Hii tagline yako ya kupiga nyungu na malimau imepitwa na,wakati, badilisha
  5. S

    Hali ya usafiri Dar kutoka Karikoo au Posta ni mbaya sana

    Ukishakuwa mtu mzima usilaumu wazazi wako, sijui hawakufanya nini na nini, tumia akili kupambana na kutatua changamoto za wakati uliopo, na kufanya vizuri zaidi kwa watoto wako, ili wasije kukulaumu na wewe. Kuendelea kulaumu yaliyopita bila kutafuta soln kwa yaliyopo na yajayo hakusaidii sana...
  6. S

    Kweli Samia kajitahidi sana

    Luca wa kububujikwa sijamuona siku kadhaa, yupo likizo nini?
  7. S

    GE2025 Kazi imeanza, mgombea awasili eneo la tukio bila mapokezi ya wananchi

    Kuna,wakati mazingira yanaweza kukuchanganya mpaka ukajikuta unajipigia simu na kuongea mwenyewe kama una act bongo muvi
  8. S

    Malipo ni hapa hapa kuna mwaka Gwajima alimtusi Mkatoliki Kadinali Pengo

    Mods, hii ihamie kwenye jukwaa la historia
  9. S

    Mapya yajitokeza kuhusu Kifo cha Ndugai, Yadaiwa alipanga kugombea tena Uspika

    H Hao wanaopuliza,wanakuwa,wapi mpaka usuwapate huo upupu, uwapate,wapuliziwaji tu?
Back
Top Bottom