Ndo ukubwa huo, kua uyaone, ndo hayo sasa si magorofa ya kariakoo, Katika vitu vinavyohitaji umakini mkubwa kuvifanya nasi ndoa ni miongoni mwao, nakusihi uwe na subira ila usiache kudai haki yako.
Kuna tofauti kati ya ujinga na upumbavu, huyu au hawa waliotoa taarifa hii ni wapumbavu kwasababu wanaujua ukweli, lakin wangekuwa wajinga ingewezekana pengine kufanya makusudi au bahati mbaya, kama lengo lao maalim Seif afe kwanza watatangulia wao maana haya mengine ni ya Mungu sio ya mafatani.
Nashangaa wanaopinga ukweli wa mambo zanzibar CCM haijaanza kushindwa leo tokea 1995, Ingekuwa maalim kajitangazia urais basi ingekuwa kishaapishwa alichokifanya ni kutoa takwimu za kura, Ewe Mungu wasaidie wasiojua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.