Nadhani ni Tariq Azizhahaa chemical ally sijui yule? kila siku alikuwa akidanganya walimwengu huku Iraq inazid kupokea kipigo. ndo hayo ya SEIF.
hahaa chemical ally sijui yule? kila siku alikuwa akidanganya walimwengu huku Iraq inazid kupokea kipigo. ndo hayo ya SEIF.
Kama Jussa kajitokeza kumpinga Seif Ali iddy anchosema kuwa ni uwongo kwanini huo ukweli asiuweke yeye hapa ili sisi wananchi tukapima hayo maongezi?
Utapata shida kumfikisha She in the Hague. Lakini kumpeleka Maalim Segerea ni kufumba na kufumbua. hivi wewe huoni kwanini Luna vikao hivyo bavyo pia vina wahusiasha mzeeAli Hassan Mwinyi. kamandoo MTU wa muwafaka 1, na pia Amani Karume muasisi wa SUK. Maalim ni janga na anastahili SEGEREA.
Kama Jussa kajitokeza kumpinga Seif Ali iddy anchosema kuwa ni uwongo kwanini huo ukweli asiuweke yeye hapa ili sisi wananchi tukapima hayo maongezi?
Kwani wewe si unaamini kwa uwepo wa MWENYEJI wako, MUNGU. Sasa anapotokea mtu akasema hakuna Mungu atakuwa ndio mkweli, kwa sababu wewe huwezi kumleta Mungu akaonekana?
Usiwe na comments zisokuwa na mashiko.
Alikuwa ni Mwenyekiti wa CCM Iraq.