Kuna baadhi ya vyuo wanafunzi hawajaingiziwa boom la kwanza mpaka tarehe ya leo tunaomba Prof. Ndalichako lile darubini lako litufikie huku Central zone tunaumia sana hali ngumu kila siku kesho kesho haijawaifika mulika na Huku..
Edah usability Lila Suki burser anatoa tarehe tushachoka tumesaini ndio Ila hela now haijaingia tunaish Kama mbwa Huku Mara bado tunaangalia vocha Mara zpo kwenye mchakato hata haileweki
Msaada wana jf nahitaji kumtumia e mail mh. Rais mwenye nayo anisaidie maana nimechoka na haya mambo yanayofanywa na watu wachache ambao hawajali watu wengine tafadhari mnisaidie
Hata wakiwapa bado hels kwa wanafunzi zitachelewa tu kama ilo kwa sasa wanafunzi bado hawajapata mikopo yao yaan kilio tu wengine tayar wengine bado heslb dah hapana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.