Puma yetu
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 111
- 125
Lile shirika ambao lilijitanabaisha kuwapata wanafunzi mikopo TSSF, sasa wamefungiwa rasmi kufanya shughuli za utoaji wa mikopo ya elimu ya juu badale yake serikali imewataka kupeleka pesa zao HESLB ili kutunisha mfuko wa bodo hiyo.
Katika taarifa ya tarehe 18/12/2017 iliyotolewa na Mkurugenzi wa taasisi hiyo bwana Donati Sala, ni kwamba sasa wanajikita na shughuli ziingine za kijamii na sio kutoa tena mikopo ya elimu ya juu kama ilivyokua swali.
My take,
Kumbe wanazo pesa za kutosha, maana mwanzo tuliambiwa kua ni matapeli. Nia ya serikali kuwataka kuhamishia pesa zao HESB ni nini watazirudishaje? Au ndio kutaifishwa huko?
Katika taarifa ya tarehe 18/12/2017 iliyotolewa na Mkurugenzi wa taasisi hiyo bwana Donati Sala, ni kwamba sasa wanajikita na shughuli ziingine za kijamii na sio kutoa tena mikopo ya elimu ya juu kama ilivyokua swali.
My take,
Kumbe wanazo pesa za kutosha, maana mwanzo tuliambiwa kua ni matapeli. Nia ya serikali kuwataka kuhamishia pesa zao HESB ni nini watazirudishaje? Au ndio kutaifishwa huko?