Tuanze kwanza na hicho alichozungumzia hapo kwenye andiko lake wewe unaonaje onyo hilo la Mtumishi wa Mungu,Yeye ni Askofu ameshajitanabaisha mwisho mwa andiko lake kama unataka kujua yeye ni nani.
Naantombe Mushi,
Inasikitisha sana Mkuu hivi wananchi waliopanga foleni kuwachagua sijui wanajisikiaje na hata familia zao zinaabika sana kwa jinsi wanayoyafanya,kuna maisha baada ya Bunge na kila mtu atarudi jikoni kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.