Recent content by silwela

  1. S

    Lowassa na Rais mpya wa Ghana, ni ugonjwa wetu Waafrika?

    Ili Prf aonenkane ni PRC mwenye akili ni lazima abuni kitu chake na siyo kunakili vitu wavyobuni weingine
  2. S

    Taarifa kwa Mh. Rais wa JMT

    Msema kweli in mpenzi wa mungu
  3. S

    Mtoto aliyezaliwa 2004 mwaka huu anamaliza la saba, Mbowe na CHADEMA mnaujua ukweli huo?

    Na ndoo maana wabaki kulaumlaum tu na kejeli nyingi Sera hukuna jipya hukuna
  4. S

    Gitaa linauzwa kwa 100000 tu

    Weka nambari ya simu
  5. S

    Natangaza rasmi kuihama Yanga

    Yanga wameisoma namba
  6. S

    Kamanda wa Malawi aapa kulinda Ziwa Malawi

    Mwisho wake utafika tu
  7. S

    Mwigulu nae analalamika kwanini usichukue hatua juu ya wauza unga? Inamaana kwani hamuwajui?

    Sio mradi unaoingizia taifa pesa kwa sababu wanayaingiza kimagendo na hivyo halipi kodi inayoenda serikalini kwa hiyo wananufaika wenyewe ni kuangamiza nguvu kazi ya taiga
  8. S

    Kadiri Lowassa anavyojiimarisha CHADEMA, ndivyo chama kinavyofifia na kupotea

    Lowasa si mwana chadema Bali ni ccm B hii ni kauli ya Mzee wa lukusa na hii INA ukweli ndani yake
  9. S

    Mwigulu nae analalamika kwanini usichukue hatua juu ya wauza unga? Inamaana kwani hamuwajui?

    Inavyoonekana wafanya biashara wa haya madawa ni watu wakubwa serikali na katika vyama,ndio maana wanagwaya kuwakamata,mkwele aliwahi kusema wakati anahutubia binge kuwa orodha ya hao watu anayo,sasa kwanini wasikamatwe? Mimi naona serikali ndio wahusika wakuu wa hii biashara
  10. S

    Waziri Mpango: Kasi ya ukuaji wa uchumi; Tanzania inaongoza barani Afrika

    Uchumi wa makaratasi Tanzania unaongoza barani afrika
Back
Top Bottom