Sio mradi unaoingizia taifa pesa kwa sababu wanayaingiza kimagendo na hivyo halipi kodi inayoenda serikalini kwa hiyo wananufaika wenyewe ni kuangamiza nguvu kazi ya taiga
Inavyoonekana wafanya biashara wa haya madawa ni watu wakubwa serikali na katika vyama,ndio maana wanagwaya kuwakamata,mkwele aliwahi kusema wakati anahutubia binge kuwa orodha ya hao watu anayo,sasa kwanini wasikamatwe? Mimi naona serikali ndio wahusika wakuu wa hii biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.