Hope Weekend inaenda vyema
Natangulisha Shukrani zangu, kwa mtu yeyote mwenyewe uzoefu wa hio Gari hapo juu kuhusu Changamoto zake.
Upatikanaji wa Spares
Mafundi
Durability
Picha ya Gari pia nimeambatanisha.
Ushauri ni Muhimu sana ili maamuzi yafanyike kati ya hii na Harrier tako la nyani...
Poleni na mihangaiko ya Dunia
Ila Mungu yu mwema siku zote.
Bila kuwachosha naomba niende kwenye topic moja kwa moja
Hili sawa la January Makamba kupita kila mkoa anagawa majiko ya Gas kwa Mama ntilie, Baba ntilie na Wakaanga samaki na Dagaa limekaa aje ?
Maswali ya kujiuliza
- Pesa za...
No One knows the truth behind, Tutulie then Jamhuri na Serikali yetu Tulivu itatoa tamko, Ukimsiliza kwa makini Msemaji wa Polisi, utagundua kuna kitu kipo nyuma ya Pazia, Tusipende kushanikia vitu tusivyovijua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.