Nathani branch walisitisha huduma za kutoa mikopo Sina uhakika kama wamerudi ila riba Yao ilikuwa ndogo sana kuliko kampuni zote za kukopesha mtandaoni
Hiyo shule miaka mingi wapo vizuri kwenye matokeo ya kidato Cha nne na Cha pili na kipindi Cha nyuma walivyokuwa wanatangaza shule kumi Bora Kitaifa ,shule hiyo haijawahi kukoseka kwenye top ten .
Dar haya mambo acha tu mm nilizaa na mnyaturu wa Singida bahati nzuri kaolewa yupo hapa Mbeya,mm nilikuwa nafanya kazi Singida nikahamia Mbeya kabla ya yeye kuolewa ,Cha ajabu alivyoolewa huku akaanza kunitafuta nipo Mbeya sehemu Gani?Nilimjulisha sehemu nilipo ,nikaomba nimuone mtoto wangu...
Wakati nasoma KWIRO SEC SCHOOL form five and six sijawahi kupigwa kiboko na Mwalimu licha ya kuwepo MKUU wa shule jina la utani aliitwa KIMBUNGA alikuwa mkali sana lakini sijawahi pigwa
Kwani walicheza kushindania kombe?Ile ilikuwa ni mechi ya kirafiki tu tusubiri kwenye ngap ya JAMII watakapocheza na Singida Fountain Gate ndio tutajua kama wamo ama hamna kitu
Mm huwa natoa matumizi kama kawaida kwa mtoto wangu ,ila siku moja huyu binti niliyezaa naye alikuwa anaumwa ,aliniambia naomba hela nikatibiwe ,nilimpa bila shida ,lakini ukawa kama mazoea anaomba hela mara kwa mara Eti anadai hata akiumwa yeye lazima nimhudumie kwa kuwa anakaa na mtoto wangu...
Huyo binti alimaliza form four mwaka jana nathani kachaguliwa kujikinga na kidato cha tano ndio maana serikali ikaingilia kati ,Ingawa hawajafanya busara kwa kubeba bunduki kama vile kuna vita
T branch hawa ndio watu wenye ukweli kwenye kutoa mkopo,wapo vizuri kadri unavyorudisha mapema ndivyo kiwango cha kukopa kinaongezeka sio matapeli kama wengne wapo vizur sana
Umaskini nao unachangia vijiji vingi unyaturuni na hali ya maisha au kipato chao ni dunia,wengi wa waschana wanakimbilia mjini kufanya kaz za ndani,kuuza maduka,bar,n.k mathara yake wanajiingiza kwenye umalaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.