Wamenipa 110000 juzi kwa mara ya kwnza ila riba yao ni nyoko yahn kwa siku 8 nilipe 136k....sio poaPesaX...ni matapelil,hizo riba zao za tamaa ndio zinawafanya wananchi washindwe kulipa huo mkopo wao
Hauwezi kupata, kwa sababu ni wale wale.
Hilo la kwanza, la pili ni kuwa kitendo cha kudownload app yao tayari umeshawachangia.
Kwa mfano ukidownload app ukaanza kuaply mkopo kisha wakakueleza umekosea masharti, hiyo app uliyodownload inaabort, lazima uifute kisha udownload upya hata kama ni mara10 ama zaidi unakataliwa lazima udownoad upya!
Kwanza nashangaa ulipataje mkopo!
Maana hata kama umepatia lazima wakukoseshe.
Na kama ulipata, basi ni kwa kuingiziwa kiwango kidogo sana ambacho haujaomba!
Hao ni matapeli kuliko hata Tianshi!
Wanaingiza pesa ndefu kwa kuuza app kitapeli pekee.
Wanavimajina vingi, mara PesaX, mara Umoja loan nk nk, lakini ni wale wale.
Na ukitaka kuamini nikisemacho, kosa mkopo PesaX, muda huo huo nenda kuomba Umoja loan, utakuta kwamba wanakutambua.
Ukiwakopa usiwalipe kufidia pesa wanayopora kwa wengine.
Kwanza nikupe hongera kwa kuwabahatisha hata kwa kidogo hicho walichojisahau kukukopesha!
Unanunua iPhone halafu upambane kukopa 12k kuna nut zitakua zimelegea kwenye ubongokwenye iphone apps store hizo application huwezi kuzikuta
Huko jela tutakua wengi sana sababu ya hawa watu mana sina mpango wa kulipa.Nilijua ni mimi tu ndo nadaiwa kama ni kufungwa acha tufungwe wengi
Wanahitaji vigezo gani ili wakukopeshe mkuuHao pesa x nimewakopa jana 12,000, ngoja niwakope na hao cashx
VzrWasumbufu sanaView attachment 2660369
Ngoja niwajaribuMatapeli kuliko wote ni Umoja loan. Hawa jamaa ni balaa. Na vitisho mpaka kwa familia yako.
Kama nakuelewa hivi!kwenye iphone apps store hizo application huwezi kuzikuta
Kama nakuelewa hivi!
Branch wapo well organized, mi huwa wananiokoa SanaUwongo
Hao wanafanya kuweka riba kubwa ndan ya muda mfupi makusud ili kufidia watakaoshindwa kulipa na wale watakaolipa ili kubalance vitabu vyao,we usiwalipe hamna kitu watafanya hao,izo simu watapga watachokaHabari
Hawa watu waliokuja ghafla na app zao za kutoa mikopo kwasasa hapa tanzania mbona niwahuni sana
Nimekopa mara ya kwanza sh 25,000 kwa app moja inaitwa cashx kabla ya wiki moja haijafika naanza kupokea cm nirejeshe malipo Yao na riba ni kubwa,
Baada ya hapo nikalipa hela haikuongezeka nikaambiwa nikope ileile kama mwanzo wakati hapo nimelipa hela zaidi ya hiyo ninayokopa nimelipa riba zaidi ya mara 3 mkopo hauongezeki
Sasa nasemaje nasemaje siwalipi, kwasiku wanapiga simu zaidi ya mara 20 ***** zetu silipi, kwanza naenda kuwashtaki kwa kunilaghai kwamba nikilipa napewa mara mbili yake halafu nikilipa nikiwapigia hampokei simu
Wote niwale wale
Pesax
Cashx
Mkopo wako
Hao wote siwalipiView attachment 2660365View attachment 2660364View attachment 2660366
Sawa mkuuHao wanafanya kuweka riba kubwa ndan ya muda mfupi makusud ili kufidia watakaoshindwa kulipa na wale watakaolipa ili kubalance vitabu vyao,we usiwalipe hamna kitu watafanya hao,izo simu watapga watachoka
WashashtukaIna kataa kutoa creditView attachment 2661467na nimepiga picha , na ku take face image ila bila bila