mtu wa hivyo atatembea hata na ndugu wa mkewe, sasa ukiendelea kumvumilia atakula hadi wanaye.
pesa inatafutwa so mama big-up, utu wako ni zaidi ya chochote.
Amuoe sasa huyo house maid!!
acha kashfa mkuu!!
Huyu mama kila siku huenda huko ofisi,
Kama kazi anafanya kuweka mafuta ashindwe?
Hata huyo jamaa pesa za mafuta ya gari anatoa hapo hapo, iweje kuweka kwenye gari ya mkewe iwe kesi?
Yaani wake zenu mnawakumbuka mkiwa na matatizo tu!
Vibaya hivyo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.