Chief, kwanza niwie radhi kwa maneno makali niliyotoa awali, lakini tumefikia mahala ambapo upinzani (chadema to be specific) wanataka madaraka sana kiasi kwamba wanashindwa kucomment kwenye mazuri anayofanya raisi, uteuzi wake wanaubeza kwaajili ya chuki binafsi. Wanashindwa kutambua kwamba...
Watu kama nyie ndo mnaorudisha taifa nyuma. Mlianza kumponda Magufuli siku alipotangazwa kuwa mgombea CCM na ameshawaduwaza mkakaa kimya na akina tundu lissu na jazba zenu, akajitokeza yule punga wenu salum mwalimu kuropoka mara akaja nzi myika. Hakuna mnachosaidia zaidi ya kujaza pumba tu...
Puuuumba kabisa.. embu tafadhali naombeni muache huu umalaya wa chadomo sijui chichiemu nyie mlikuwa mnampinga Magufuli sijui ooh mfumo saivi anawafanyia makubwa mnasema maigizo sijui ilani za Chadema, bahati nzuri hana hasira za karibu bado atawatumikia watanzania bila ukabila wala ukanda...
Manji ni mshenzi na ana tamaa ya kupindukia, raisi kishamwambia kuna maeneo mengine mengi yana fukwe nzuri zinaziweza kuendelezwa kupunguza congestion ya watu kwanini apang'ang'anie coco? Hii biashara ya the tich get richer the poor get poorer lazima iishe nchi hii majambazi kama manji inabidi...
Naona mwanza waliamua kwenda kumzomea kwa wingi jana. Nahisi hawa jamaa walijaa mpaka kwenye milima kule na kwenye maji wangesimama wangekuwa na uwezo.
Ukiitwa wewe pumbavu, ooh wametuita watanzania wapumbavu. Wewe ulipofika upeo wako umefika kikomo. Nishakwambia acha kelele nguvu uliyo nayo ni hiyo kadi yako ya kura tena kama hata unayo humu kupiga debe utapata ugonjwa wa moyo. Una jazba sana. Punguza kidogo.
Jiongelee mwenyewe ndugu, usiseme sisi, dunia hii kila mtu anaingia kivyake na anatoka kivyake hata pacha wako hamjaingia pamoja hata kama mmezaliwa siku moja. We subiri kupiga kura mwenye kushinda akabidhiwe kiti maisha yaendelee nini kulumbana bila hoja za msingi?
Hivyo ni unavyofikiria wewe, acha jazba subiri kupiga kura. Tatizo la watu wa ukawa hakuna atakachosema ama kufanya Magufuli au mgombea mwingine yoyote mtakachoona sawa mnatafuta negativity in everything. Ni vizuri kuwa mchambuzi kuliko mshabiki maana unashindwa kuona mengi. Pole sana ndugu.
Wewe ni mpuuzi wa kutupa na ninaomba sheria ya mitandao ikufikie haraka sana hatutaki watu kama wewe katika jamii, iwe ukawa iwe ccm watakaoshika dola naomba wakutafute wewe kwanza na ushetani wako mchochezi mkubwa na hayo unayoyaongea yatakufikia wewe maisha yataendelea. Ibilisi wewe umekaa...
Haya mambo hayatakiwi kufumbiwa macho nahisi watu wamerogwa ama wameingiliwa na mapepo wapenda amani tafadhalini chukueni tahadhari haya makundi yasituvuruge kabisa.
Kawadanganye wasiojua video editing na kwakuwa wako wengi wataamini kwamba hiyo video imekuwa edited wakati hakuna kiashiria chochote ndani yake cha kusema imepandishiwa sauti, namna pekee ile video kutengenezwa labda useme yule mtu anayeongea ni katuni amechorwa acheni kupumbaza umati nyie...
Wewe ni muongo na utakatwa ulimi karibuni uwanja ulikuwa mtupu leo kwanini nyie watu wa ukawa mnajiaminisha na kujidhalilisha namna hii? Hata mkipewa kinyesi kuwaongoza mtashabikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.