Hata Ndugai akiwa speaker wa bunge, aliwahi kushangaa Sheria walizotunga km zimepitishwa na bunge hili lkn hakuwajibishwa Sasa Leo Kwa mbunge mbona ni jambo la kawaida tu kujisahihisha?
Sasa hapo ni mtihani Kwa rais maana akiendelea na mchakato Wakristo wataamini kweli kuwa hii inshu inahisiana na Waislam na akaihirisha mchakato itaonekana Wakristo Wana nguvu ya kuamua jambo na serikali ikatii, hapo pia ni mtihani mkubwa Kwa viongozi wa serikali wenye Imani ya katoliki...
Pole sana hiyo Hali inataka kufanana na mm tofauti ni Kwamba mm Huwa dilinzangi Zina tiki kabisa, ila baada ya muda furani mambo Huwa yanaharibika vibaya mno, yaani Huwa inatokea msara mkubwa na kujikuta kile nilichokipata hukitumia Kwa ajili ya kutatua tatizo. Pole sana
Nimejaribu kusoma na kuisikiliza mijadala juu ya hili sakata la DP World. Kwa kweli mpaka Sasa kama taifa bado tunarumbana juu ya sisi Kwa sisi Cha kushangaza zaidi hata hao wasomi wa Sheria katika nchi hii wameshindwa kuwa na tafsiri ya pamoja katika mkaba huu.
Tofauti na ilivyotarajiwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.