Inawezekana mtoa mada ndio una mawazo ya kimaskini utajiri wa Jiji au nchi haupimwi na skyscrapers tu!nenda mji mikubwa ya ulaya uone hakuna skyscrapers lakini ni matajiri mfano wa karibu London.
Du kweli Elimu ni muhimu! Kwa hali ya kawaida mtoa mada umeshindwa kujua nafasi ya Marehemu Dr Ndungulile ni ya kitaaluma zaidi na wahusika ni Health personnel?WHO na Makonda wapi na wapi?
Anakuandaa kisaikolojia ili timbwili likianza usione mambo mapya !wanawake uwa wanashindwa kabisa kuficha hisia zao kama atakuwa amepata mtu nje uwa ndio wakati anapoona mapungufu yako lakini akiwa kwenye deep love hayo mambo ya uzee au sio handsome uwa hayaoni kabisa,ukute huyo mme mwenzako...
Nahisi kama Kuna ukweli ndani yake ,ukiangalia Kwa makini Yanga now days inatumia nguvu nyingi sana kupata matokeo na ni kama Kila timu zimejua tactics za Yanga na simply wakipaki basi hakuna goals,wachezaji wako busy kutafuta direct penetration kwenye msitu wa wachezaji hakuna cross za gombania...
Mungu atakusimamia utapata hitaji lako,ila course nyingine ni changamoto kwenye suala la ajira tofauti na course za Afya au Ualimu,unakuta ofisi Moja Ina watumishi zaidi ya 300 lakini HRO mmoja tu anatosha wakati huo vyuo vinamwaga maelfu ya wahitimu Kila mwaka! course kama hizi unatakiwa iwe...
Sijaona cha ajabu au ambacho kinaathiri privacy ya mgonjwa hapo ,cha muhimu mgonjwa ameridhia taarifa zake zitoke Kwa umma Kwa maslahi ya taifa,hata ulaya Kila siku tunatangaziwa mgonjwa kapandikizwa moyo wa nguruwe,mara mwanaume kabadilishwa jinsia na wanatajwa hadharani lakini husikii watu...
Kweli kabisa nimekuwa nikijiuliza kwanini Kila nikilipwa kazi zangu kutumia mitandao ie Simu ndio siku hiyo hapo matapeli watanipigia Simu au kuniandikia sms keep na namna taarifa za wateja zina leak au Kuna watumishi wasio waaminifu wa hizi kampuni za Simu wanatoa taarifa Kwa matapeli
Hakuna Sheria ya kudai fidia kwenye fumanizi zaidi ya kuomba Talaka.hiyo ni matrimonial case na sio case ya Madai ndio maana wahusika wengi uamua kujichukulia Sheria mikononi dhidi ya mgoni wake kama ilivyotokea kwa huyu Binti.
Hivi katika Uislam,ukafiri ni Uzayuni na Ukristo tu?maana duniani tuna Dini nyingi zaidi ya Ukristo ambazo zinaamini Miungu wengine zaidi ya Allah au Jevovah kama Buddha, Hindu, Voodoo nk lakini huwezi kukutana na mafundisho au ukosoaji wa kiislamu ukiwalenga !
Cha ajabu ukifuatilia msingi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.