Recent content by sikonge one

  1. S

    Dereva wa Lissu asema hana kumbukumbu vizuri kwa kilichotokea kwenye shambulio dhidi ya Lissu

    Kama hakuguswa hata na risasi moja hakumbuki je aliyepigwa risasi atakumbuka kweli ?
  2. S

    Mkutano wa leo wa CHADEMA kwa waandishi wa habari waacha maswali mengi

    Aisee humu jf watu wanafikilia sana hii thread dah
  3. S

    Nani anagharamia matumizi ya Lema, Msigwa na Mbowe huko Nairobi?

    Hawa hata akipelekwa india wataenda inaonekana wanapenda kutalii
  4. S

    Ni sahihi kwa mbunge kuinanga serikali yake akiwa nchi jirani?

    Wameenda kumuongezea tu machungu mgonjwa huko si kuuguza.
  5. S

    Sehemu ya maelezo ya dereva wa Lissu yanazidi kuibua maswali mengi. Polisi wamhoji hata kwa nguvu

    Huyu dereva mi simuelewi ndo kusema maelezo kayatolea kwa polisi huko aliko.
  6. S

    2020 CHADEMA mna kura yangu ya urais mkimpitisha huyu mtu!

    Mleta mada kama ni cdm utafukuzwa uanachama mda c mrefu hujui kama mgombea yupo alishaandaliwa.
  7. S

    Mbowe na Msigwa nyie si madaktari rudini Dodoma kuhudhuria vikao vya Bunge

    Dah kuna maneno makali humu jamani punguzeni jazba.
  8. S

    Uwanja wa ndege Dar(JNIA): Almasi yenye thamani ya zaidi ya Sh. Bilioni 64 yataifishwa

    Ngaringosha yumo humu jf anachangia kwa kutumia matusi kitu ambacho si sahihi ila nimeona machangizo mengi ya wana jf wamekuwa ni watu wa matusi ni si kujadili hoja kistaarabu hasa walioko upande wa upinzani sijui shida yao ni nini . Jamani tujadili hoja kama great thinkers na si matusi mda...
  9. S

    Vita ya uenyekiti yaibuka rasmi CHADEMA

    Nimeukubali uchambuzi wako naona kama kuna ukweli ndani yake.
  10. S

    James Orengo vs Tundu Lissu

    Orengo anaonekana kuwa busara zaidi .
Back
Top Bottom