Recent content by sikonge mtakuja

  1. S

    Tabora: CHADEMA wamvua Uanachama diwani wa Kabila Adam Idd Kalonga

    Hawa si ndo wanasemaga marudio ya uchaguzi ni matumizi mabaya ya kodi za wanyonge.
  2. S

    Tetesi: CHADEMA kurusha live mikutano ya kampeni za uchaguzi wa madiwani

    Hiyo pesa ingetumika kwenye matibabu ya Mh lisu
  3. S

    Sumaye: Hatuwezi kukubali CCM iendelee kutawala nchi wakati watu wanazidi kuwa na hali mbaya ya maisha

    Miaka miwili iliyopita alikuwa CCM inaweza kuwa CCM imekuwa mbaya kiasi hicho anachosema hapana huyu jamaa muongo.
  4. S

    Sumaye: Mnakula miguu ya kuku na utumbo kwa sababu ya CCM

    Kwan kipindi cha uongozi wake kama waziri mkuu walikuwa hawali hakuyaona.
  5. S

    ITV wamekumbwa na shida gani?

    Mjadala mzuri sana.
  6. S

    Jerry Muro: Zitto Kabwe ana tatizo zito kichwani

    Safi sana Jerry big up.
  7. S

    Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi, Wakuu wa Mikoa, Makatibu & Manaibu Katibu: Wamo Mnyeti, Mangu, Kashilila..

    Pana powauma wapinzani na Mh. Rais Anawapigia hapo hapo hongera Mh mnyeti mpaka akili ziwakae Sawa
Back
Top Bottom