Recent content by Sikasyakamo

  1. S

    Je, ni kweli huyu dada kavaa Sare za Jeshi la Tanzania za mkuu Brg Grn CD Katenga?

    Aisee, iko hivi, huyo dada ni mtoto wa huyo mwenye vazi na cheo Hicho, kilichotokea ni kwamba huyo dogo alizinguliwa na Mwl wake akataka kumwonesha yeye ni mtoto wa mkubwa, akaenda kuchukua vazi la ***** na kupiga picha ili kuntisha Mwl wake, ionekane anatoka familia ya kijeshi na hana la...
  2. S

    Muwasho kwenye uume,

    Habari, nimepatwa na tatizo nawashwa uume kwa wiki nne sasa na nimeenda pharmacy kupima anasema sina tatizo lolote, chanzo ni kuwa huwa naishi mbali na mke siku alikuja kunitembelea nilikaa nae siku mbili baada ya sex sehemu uume ulipolalia Kwe paja baada ya kumaliza mchezo Ndio palipoanza...
  3. S

    Ushauri; Ni aina gani ya smart TV ni nziri kati ya Boss, TCL,EVVOL, Pinetech au Pioneer?

    Inaonesha uliyonayo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    Ushauri; Ni aina gani ya smart TV ni nziri kati ya Boss, TCL,EVVOL, Pinetech au Pioneer?

    Hahahahahahahha Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    Msaada

    duu, hatari sana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    Msaada

    Naombeni Masada wa kupata namba ya simu inayotumika kwenye simu iliyoibiwa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    Tupinge dhuruma

    Nashukuru kwa marekebisho, ila hali ni mbaya sana
  8. S

    Tupinge dhuruma

    Tupinge dhuruma, huu ni ubinafsi kwa wabunge wetu
  9. S

    Gari inauzwa.

    Weka vielelezo vingine kama ukubwa wa engine, kama imalipiwa na vielelezo vingine
Back
Top Bottom