Nimetazama ushahidi wa Boniface Mwangi alioutoa kwenye vyombo vya habari vya Kenya akielezea unyama aliyofanyiwa na Polisi wa Tanzania. Natabiri kwamba kesi hii haitaishia kama wanavyowafanyia Watanzania. Tayari reaction ya Wakenya wengi wasema rais Samia asitie mguu Kenya.
Ninavyowajua...
Mbunge Musukuma alisikika akiunguruma Hatuna chochote cha kujifunza kutoka Kenya! Waakenya tunawazidi kwa kila kitu: akili, siasa ....!
Kwa Musukuma kudai ana akili kubwa.....ni kichekesho cha mwaka huu. Wakenya walidukua saiti yake mtandaoni wakakuta alifeli la saba, tena la Tanzania! Ikawa...
kITU KISICHOJULIKANA NI KUWA UKOO MZIMA WA SAUDI ASILI YAO NI MAYAHUDI WA KHAYBAR ( KUNA KITABU KILICHAPISHWA NA DR.MMOJA WA IRAQ ALIYEFANYA UTAFITI WA MIAKA 12. VITABU HIVYO VILINUNULIWA VYOTE NA WASAUDI VIKACHOMWA MOTO NA DR ALIUAWA KWA KIFICHO MIAKA YA 70). HUU UISLAMU WA MAWAHABI PIA...
WaTanzania kwa kawaida yao hawampendi mtu mwenye mafanikio: ya elimu, uchumi nk. Ni watu wenye wivu kupita kiasi. Wana chuki kuwa mbona wao hawako hivyo? Halafu wanataka tu bila ya kujitaabisha!
Ukisoma post juu ya Wakenya ni hivi hivi. Kuna kitu 'very wrong psychologically' juu yetu.
Kama watu...
Ni kupoteza wakati tu.
Isipokuwa nikuelimishe mawili matatu, sidhani kama utakubali hata maazimio ya Kimataifa maana umenyweshwa udini ukakuingia mpaka kwenye medullae oblongatae yako (nenda kwenye Kamusi uelewe ni nini hiyo).
Katika maamuzi ya Umoja wa Mataifa mwaka 1947, ululiamua nchi hii ya...
Uko huo kwa muda lakini hukusoma. Unajua kuwa wamama wa Kifalasha walipigwa sindanio na Wayahudi ili wasizae watoto weusi? Au hii pia utawatetea Wayahudi waliomwua Mungu wako? Ajabu sana hii. Sasa kama Wayahudi walimwua Mungu wako, unadhani Mungu wako atafurahia unawakumbatia? Ni kama...
Katika watu 'ignorants' duniani ni hawa waliobatizwa kwa maji ya mfereji huku Afrika. Wao kila kitu wanatazama ni Mwislamu si Mwisllamu: hakuna haki, historia nk...
Suala la unyama wanaofanyiwa Wapalestina hivi sasa linatetewa na Wakristo wengi duniani hata kuliko Waislamu. Kila wiki maandamano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.