Recent content by Sijali

  1. Sijali

    Makonda: Anachokifanya Rais Samia Ndicho Alikifanya Magufuli (Mapokezi ya Ndege mpya ya Abiria Boeing B 737-9)

    Walivyo bongo lala hawa hawajali hata maisha yao! Bloody fools.
  2. Sijali

    Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

    Hawa wakuu wetu wajinga na wasio na maarifa ya dunia. Nani anayechochea vita Sudan, si hawa hawa wa Imarati? Mmewapa bandari watashindwa kuingiza silaha? Na Usalama wenyewe ni huo hata Magufuli auawa hadi leo hakuna hata taarifa ya utafiti. Pumbavu nchi hii!
  3. Sijali

    Wafanyakazi watakaokataa kujiunga na DP World watapelekwa kufanya kazi bandari nyingine. Je, TPA wamekabidhi bandari yote Dar kwa DPW?

    Duh, yaani bandari yote imeuzwaaa na sikugawiwa! Laa Haula walaa Quwwata illa Billahi. Tutakutana akhera!
  4. Sijali

    Picha: Vyombo vya CCM

    Sasa kama huu si ufiadi ni nini? Pesa za wengine, sura ya mwengine!
  5. Sijali

    Uchaguzi Senegal unatufundisha muunganiko wa Mahakama na nguvu ya umma

    Sasa naamini: ili kuleta mabadiliko ya kisiaa Tanzania inabidi kuwe na elimu na elimu raia. Watanzania wengi wanajua wanateseka lakini hawajui nani anayewatesa na vipi watajinasua. Ukisoma hapa utakuta malalamiko, shutuma nyingi zapewa upinzani ingawaje upinzani hauna madaraka yeyote! Hii ya...
  6. Sijali

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Huyu mtu alikuwa na mapenzi ya dhati kwa Watanzania wote. Ukweli usemwe. Ingawa kama binadamu alifanya makosa, ila kwa nia njema. Mungu atamhesabu kwa nia yake. Ama kuhusu Kikwete kuwa ndiye aliyeomba msikiti, mhuu....Kikwete bwana aliacha mambo yote muhimu hadi mwisho wa uongozi wake, tena kwa...
  7. Sijali

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Si busara kuzungumzia nani ameomba hivi sasa. Wote wameshiriki kuufanikisha. Angekataa, Msikiti usingeendelea. Mngezungumzia: kwa nini Tanzania iombe hata kujengewa msikiti? Matajiri wawili tu wangeweza kuujenga, ila roho mbaya na uchu wa fedha.....
  8. Sijali

    Makonda: Anachokifanya Rais Samia Ndicho Alikifanya Magufuli (Mapokezi ya Ndege mpya ya Abiria Boeing B 737-9)

    Yaani siku nzima ya kazi imepotea kwa kuipokea ndege tu? Ni Tanzania pekee! Hatufiki.
  9. Sijali

    Taja miradi inayosubiri uchaguzi 2025 ndio izinduliwe na wanasiasa licha ya kukamilika au kucheleweshwa kwa makusudi

    Satalaiti ya kwanza Tanzania Daraja Pangani Kuchimbwa kwa bwawa la maji na umeme Mabatani, Muheza, Tanga Tanga airport Meli ya abiria Tanga, Mombasa, Zanzibar (kuzinduliwa 1 Jan.2025) Barabara Muheza-Amani
  10. Sijali

    Mbowe akatisha ziara ya kikazi ili kuwahi Mazishi ya Sabodo, anayezikwa leo usiku

    Yaani siku hizi Bongo fedha inathaminiwa kuliko wasifu wa binadamu. Ina maana gani kuwa lazima kutaja yeye ni bilionea kabla ya jina lake? Tulivumilia u-Dokta, sasa hii basi ni ujinga. Kwanza unajuaje yeye ni bilionea? Watanzania acheni mambo ya kishamba shamba ya kuabudu pesa! Yaani kama si...
  11. Sijali

    Kwa Tofauti hizi za gharama za uwanja wa Mkapa na Samia, kuna haja ya Maslahi ya Watumishi kuangaliwa upya

    Ala, sasa kuna uwanja wa Samia? Amebakia Jidulabambasi tu?
  12. Sijali

    Ni lini tataanza kuweka mikakati ya kupandisha thamani ya pesa yetu?

    Siku zote masuala ya muhimu na yanayotaka mjadala wa fikra hayapati mchango wa kutosha hapa. Watu wataka kujadili vitunguu, Yanga n Waziri amevaa nini. Suala hili la exchange ya Shilingi ni kubwa sana katika maisha ya watu ya kila siku. Miaka ya sabini mkulima wa pama ilibidi auze magunia sita...
  13. Sijali

    LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

    Time is not on our side. Mradi wa 41b hata ukiwa mbovuTanzania itafaidika sana. fikiria out of box: ajira, wageni, training, na vitu chungu nzima. Hawa negotiators wetu wataka fixed percentage tu ndicho wanachokijua. Hakuna mtu atakayekupa 41 b halafu asione kama anazirudisha. Na Tanzania ni 'a...
  14. Sijali

    LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

    Kwa experience yangu, masuala yanayohitajia kufikiri kama hili, hayapati wachangiaji wengi. Na mtu akichangia huwa ni hivyo- 'nani kakuambia kuwa mradi unachelewa?' aina hiyo. Watanzania tuna tatizo kubwa ndugu yangu. Suala kama hili lingetolewa kwenye forum za Uganda au Kenya...
  15. Sijali

    Tahadhari yatolewa Bonde la Rufiji, baada ya bwawa la JNHPP kufunguliwa maji yake

    Wallahi nasema hatufiki! Kwa akili hizi!
Back
Top Bottom