Hawa wakuu wetu wajinga na wasio na maarifa ya dunia. Nani anayechochea vita Sudan, si hawa hawa wa Imarati? Mmewapa bandari watashindwa kuingiza silaha? Na Usalama wenyewe ni huo hata Magufuli auawa hadi leo hakuna hata taarifa ya utafiti. Pumbavu nchi hii!
Sasa naamini: ili kuleta mabadiliko ya kisiaa Tanzania inabidi kuwe na elimu na elimu raia. Watanzania wengi wanajua wanateseka lakini hawajui nani anayewatesa na vipi watajinasua. Ukisoma hapa utakuta malalamiko, shutuma nyingi zapewa upinzani ingawaje upinzani hauna madaraka yeyote! Hii ya...
Huyu mtu alikuwa na mapenzi ya dhati kwa Watanzania wote. Ukweli usemwe. Ingawa kama binadamu alifanya makosa, ila kwa nia njema. Mungu atamhesabu kwa nia yake.
Ama kuhusu Kikwete kuwa ndiye aliyeomba msikiti, mhuu....Kikwete bwana aliacha mambo yote muhimu hadi mwisho wa uongozi wake, tena kwa...
Si busara kuzungumzia nani ameomba hivi sasa. Wote wameshiriki kuufanikisha. Angekataa, Msikiti usingeendelea.
Mngezungumzia: kwa nini Tanzania iombe hata kujengewa msikiti? Matajiri wawili tu wangeweza kuujenga, ila roho mbaya na uchu wa fedha.....
Satalaiti ya kwanza Tanzania
Daraja Pangani
Kuchimbwa kwa bwawa la maji na umeme Mabatani, Muheza, Tanga
Tanga airport
Meli ya abiria Tanga, Mombasa, Zanzibar (kuzinduliwa 1 Jan.2025)
Barabara Muheza-Amani
Yaani siku hizi Bongo fedha inathaminiwa kuliko wasifu wa binadamu. Ina maana gani kuwa lazima kutaja yeye ni bilionea kabla ya jina lake? Tulivumilia u-Dokta, sasa hii basi ni ujinga. Kwanza unajuaje yeye ni bilionea? Watanzania acheni mambo ya kishamba shamba ya kuabudu pesa! Yaani kama si...
Siku zote masuala ya muhimu na yanayotaka mjadala wa fikra hayapati mchango wa kutosha hapa. Watu wataka kujadili vitunguu, Yanga n Waziri amevaa nini.
Suala hili la exchange ya Shilingi ni kubwa sana katika maisha ya watu ya kila siku. Miaka ya sabini mkulima wa pama ilibidi auze magunia sita...
Time is not on our side. Mradi wa 41b hata ukiwa mbovuTanzania itafaidika sana. fikiria out of box: ajira, wageni, training, na vitu chungu nzima. Hawa negotiators wetu wataka fixed percentage tu ndicho wanachokijua. Hakuna mtu atakayekupa 41 b halafu asione kama anazirudisha. Na Tanzania ni 'a...
Kwa experience yangu, masuala yanayohitajia kufikiri kama hili, hayapati wachangiaji wengi. Na mtu akichangia huwa ni hivyo- 'nani kakuambia kuwa mradi unachelewa?' aina hiyo. Watanzania tuna tatizo kubwa ndugu yangu. Suala kama hili lingetolewa kwenye forum za Uganda au Kenya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.