inaonekana na ww ujana bado unakusumbua..ndo maana huelew nn mamako anafanya..mama ni kitu kingne aisee usimdharau hata kama yupo above 45..au crazy..anampenda sana mwanae ndo maana amfatilia..subir cku abebe mimba huyo dogo ndo mtajua nan alikua anakosea..kumaliza form 4 isiwe chanzo cha...
mwanamke mpumbav cjawahi ona!!cku c nyingi utaachika kwa uzinzi..tulizana mwanaume hakomeshwi hivo..kwa hyo uko tayari kuonekana ww ni mzinz mbele ya jamii?!shenzi ww.ivi unajua maana ya God fearing???..endelea na huo ujinga sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.