Anataka kusoma meseji zangu

Anataka kusoma meseji zangu

Sasa mkuu kama unahuyo mchepuko aliyekutumia text, kama ni bora zaidi kuliko huyo mrembo uliye fanya nae kwanini usibaki na mchepuko?


Kama mchepuko sio bora kwanini usimwache huyo mchepuko.


Sasa kuepusha usumbufu.

Kama unampenda uliyenaye na sio mchepuko, NENDA MUELEZE UKWELI KWAMBA JANA ALIKUWA NI MWANAMKE MWINGINE aliye ni text, naomba samahan mpenz wangu, na mpigie simu yule mchepuko mwambie muachane

Kama unampenda mchepuko zaid, basi huyo anaelalamika muache, usimjibu endelea na mchepuko

Acha kuchezea chezea watoto wa watu, mkuu

Sumbai nakupenda bure aisee
 
Wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....

Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.

Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.

Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine

Wewe ni mpumbavu
 
Wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....

Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.

Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.

Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine

Sina cha kukwambia nini cha kufanya kwa sasa, ila nitakwambia nini cha kufanya in future, kama unampango wa kando mpe muda wa kukupigia, kama ni ngumu, unapokuwa faragha na mpenzio, weka simu yako mute, au weka kwenye flight mode, au weka program inayo zuia message kwenda inbox ziende kwenye folder tofauti amabalo si rahisi mtu mwingine kulipata kirahisi, mfano ukitumia call blocker alafu hiyo namba ya mpango wa kando ukaiweka kwenye blocklist, missing call yake haitaoneka wala sms zake hazitaonekana, utazitafuta baadaue kwenye mahali maalum.
 
shule zimefungwa na form four wamerudi nyumbani tutakoma
 
Ivi unanguvu nyingi sana zakuweza kumudu Uzinzi kiyasi hicho? nakuonea huruma sijui kama unajionea...
 
Tafuta msg nzuri kuliko zote toka kwa michepuko yako then muoneshe then mwambie hiyo ndo sababu hukutaka aione maana hakuna njia yeyote ataweza kukuamini unless ni msukuma tena Wa ndani ndani kule
Daah Imebidi nicheke tu, mbona kuleta utani na wasukuma wa huko ndani ndani
 
Brod darlin huu u-matchmaker nilijua umeshastaafu teh. Kumbe kipaji hakifagi eeh
Yani sis darling hii kitu ipo kwa damu asee. Nafurahi kuona watu wakipendana kwa dhati. Sio figisu na uongo mwingi.
BTW, sina sista katika bwana isipokuwa wewe..teh teh! Hembu Paulo afanye haraka....
 
Yani sis darling hii kitu ipo kwa damu asee. Nafurahi kuona watu wakipendana kwa dhati. Sio figisu na uongo mwingi.
BTW, sina sista katika bwana isipokuwa wewe..teh teh! Hembu Paulo afanye haraka....
Ahhahaha brod darling it's true ni raha sana kuona watu wanapendana kwa dhati and kuna muda unatamani Sana fulani na fulani wawe pamoja, but inategemea wahusika watalichukuliaje hilo afu wenye kakipaji ka kuunganisha watu mpo wachache.

Huyu Paulo huyu, leo Sitaki hata kumuongelea teh. Tutamdiscuss kwenye next mkesha
 
Nachukia watu wasiokuwa na haya kwa hiyo unatuletea upuuzi kama huu tukusifu kwa upuuzi wako unaouleta hapa au nini?. Mwanaume mjanja na anayetaka kufanikiwa hana muda wa kupoteza kuwa na wanawake lukuki...
Wewe ni muasherati na huna msimamo na daima hutakaa ufanikiwe maana unafanya mambo ya kitoto bado hujakuwa...kuna watu wanafanya umalaya halafu wanajileta humu tuwape ushauri gani kwa mfano...
Kwa vile ndio maisha uliochagua ya kupenda ngono endelea nayo ipo siku utaona manufaa yake...yan majitu ya hivi mimi nayaonaga kama hayajaenda shule, wachafu na watakufa maskini..
 
wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....

Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.

Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.

Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine

wewe si ni yule form two b unayeripiti mtihani wewe??
 
Wana jf naomben mawazo jpo kidogo kwa haya yalio nisibu....

Leo nilikuwa ndan na mpnz wangu baada ya kupeana raha msg iliingia kweny simu yangu akatak aisome nikakataa tukanyang'anyana simu hatimae nilifanikiwa kuinusuru simu yangu na hakusoma kitu chochote nikasepa zangu.

Sasa usiku huu amekuwa akituma msg za masikitiko kwa kitendo kilichotokea.

Mimi ninacho waomba wana jf mnipee mawazo kuwa nimpe sababh gan ya mm kutompa simu asome zile text??? Bila kusahau zile text zilikuwa za mpenzi wangu mwingine

Yaani, inatia huruma.
 
Sasa mkuu kama unahuyo mchepuko aliyekutumia text, kama ni bora zaidi kuliko huyo mrembo uliye fanya nae kwanini usibaki na mchepuko?


Kama mchepuko sio bora kwanini usimwache huyo mchepuko.


Sasa kuepusha usumbufu.

Kama unampenda uliyenaye na sio mchepuko, NENDA MUELEZE UKWELI KWAMBA JANA ALIKUWA NI MWANAMKE MWINGINE aliye ni text, naomba samahan mpenz wangu, na mpigie simu yule mchepuko mwambie muachane

Kama unampenda mchepuko zaid, basi huyo anaelalamika muache, usimjibu endelea na mchepuko

Acha kuchezea chezea watoto wa watu, mkuu

👌👌👏👏👏👏
 
pitia hii link muhim jamiiforums.com - Earn from Your Home & Office, Earning website for Students, Job-less people
 
Hao wanawake unatumia nao kinga lakini....kadri wewe unavyowapanga na wenyewe wana majamaa wameyapanga
kuhusu meseji ungemwonesha tu ili ajue ukweli
 
Kuwa wazi tu...Mwambie zile zilikuwa msg toka kwa mpenzi wako mwingine.

Kumbuka ukweli utakuweka huru
 
Back
Top Bottom