Samaki samaki Samora, itanivunjia ndoa yangu

Samaki samaki Samora, itanivunjia ndoa yangu

hiv una akili kwel?jichunguze.unaharbu ndoa yako alafu unataka tukuchekee..shenziii type..kuolewa na janaume kama hili hasara Tupu..
 
Tatizo sio samaki samaki ni wewe na ukirukanjia wako.
 
Acha kujisogeza kwa shetani,mwambie "hapa ndoa tu"
 
Sasa hapo amua kipi bora kati ya samaki samaki na mkeo, jibu utakalopata kifuate hicho zaidi
 
Mke akikimbia mfate mmasai mzungu atakupa alternative. Na nnavyomwona nenda na ky kabisa!
 
Dickdinyo! Akili yako ni 0/10!. Elimu ni kipaumbele tosha*3
 
Last edited by a moderator:
Aisee huyu Mzungu Mmasai ataniletea majanga kwa wife kitendo cha kufungua tawi hapa opposite na ofisini imekuwa shida kwangu.

Wakati wa lunch lazima nizimue kidogo.Jioni nikitoka ofisini ndiyo nakaa hapo hadi usiku napata vitu huku nikicheki watoto wazuri, wife akihoji kwanini nachelewa, namjibu nilkuwa nasubiria foleni ipungue.

Sasa Jana nimerudi akahoji, hiyo foleni nimeanza kusubiria wiki hii tu?Mbona siku za nyuma nilikuwa nawahi home. Nimetoka asubuhi Leo nimemwacha kanuna balaa.
NA UKIPATA HANG-OVER PHARMACY IKO HAPO HAPO... WADUDU WAKINYEMVUA....:eek2::eek2::eek2: UNAHAMIA BWENINI...
 
Unatakiwa ujifunze kupambana na mihemko yako Kama kuku na sio kulaumu Samaki Samaki...
 
Aisee huyu Mzungu Mmasai ataniletea majanga kwa wife kitendo cha kufungua tawi hapa opposite na ofisini imekuwa shida kwangu.

Wakati wa lunch lazima nizimue kidogo.Jioni nikitoka ofisini ndiyo nakaa hapo hadi usiku napata vitu huku nikicheki watoto wazuri, wife akihoji kwanini nachelewa, namjibu nilkuwa nasubiria foleni ipungue.

Sasa Jana nimerudi akahoji, hiyo foleni nimeanza kusubiria wiki hii tu?Mbona siku za nyuma nilikuwa nawahi home. Nimetoka asubuhi Leo nimemwacha kanuna balaa.

Imeandikwa... "Usitamani mwanamke asiye mke wako." Acha tamaa na kuanzisha sababu zisizokuwa na msingi ambazo zinaweza kuondoa imani kwa mke wako na kubabishwa ugomvi usiokuwa na msingi. Wahi kurudi nyumbani, timiza majukumu kwa familia yako. Kumbuka uliapa nini mbele za Mungu wakati unafunga ndoa yako na siku ya mwisho utaulizwa umetekelezaje kiapo chako.
 
Back
Top Bottom