Kumbe hata ukichanjwa bado uwezekano wa kuambukizwa corona upo na barakoa utaendelea kuvaa...kwa hali kama hiyo umuhimu chanjo ni UPI? Bado haijangia akilini...tusiwe watu wakuletewa na kupokea kila kitu kunaumuhimu pia wa kuvifanyia tathmini..pia tusiwakejeli wenye maono tofauti na chanjo...
Kila mauaji yanapotokea yanakua na chanzo na sababu zake mpaka yatokee
Na watu hujikita kwenye hizo sabab kulaan au kuunga mkono mauji hayo.
Mfano vita vya Islael na Palestina vipo kiiman zaid, huwez kufananisha na kifo cha fobby
Waliahid pia kutokomeza nyumba za udongo na nyasi kwa kushusha bei ya vifaa vya ujenzi kama nondo, cement na misumari
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.