Leo tarehe 26 Aprili 2026, Tanzania inaadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (1964 - 2026). Hata hivyo, hatukutakuwa na maadhimisho ya kitaifa kwa sababu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizokuwa zimepangwa...
Kwa hakika, Ikulu Yetu, Fahari Yetu na Utambulisho Wetu. Ujenzi wake umezingatia mambo mengi, taarifa itakayotolewa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambaye ndiye mbunifu na msimamizi itakuwa na mengi ya kutujuza.
Leo tarehe 20 Mei 2023 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan ataongoza uzinduzi rasmi wa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma ambapo Rais wa JMT na watumishi wengine watahamia katika Ikulu hiyo.
Sherehe hiyo ya kihistoria inatarajiwa kuhudhuriwa na takribani watu 2,500...
Na. Sifael Essau Mpollo.
Rais wa 32 wa Marekani Franklin Delano Roosevelt aliwahi kusema “We cannot always build a future for our youth, but we can always build our youth for the future.” Kwa tafsiri isiyo rasmi katika Kiswahili ni kwamba "Siku zote hatuwezi kujenga mustakabali wa vijana wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.