Recent content by Sidi J

  1. Sidi J

    Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

    Yuko sahihi kwa baadhi ya shule...mfano, nilikosoma A-level hatukuwa na huo utaratibu wa kufuatiliana. Nilikuwa kiongozi wa darasa na attendance nilikuwa napewa na mwalimu nijaze siku wakaguzi wakija. Kwa waliosoma Malangali kabla ya 2010 (wakati wa Seme kama HM) wanamkumbuka bro mmoja kutoka...
  2. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Very positive, Thank you again brother.
  3. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Shukrani sana, be blessed
  4. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Duh! Kuna haja ya kupungua kwakweli
  5. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Nakushukuru sana ndugu Mtafiti77 Kwakweli maelezo yako yana mchango mkubwa kwenye kuelewa hili suala. Nimeongeza kitu kikubwa sana. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  6. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Appreciated!, Nashukuru sana mkuu. Will try out ninachoweza kufanya. Inawezekana watu wamenielewa tofauti, niliposema "mvuto" nilimaanisha kuondoka kile kiushamba flani hivi...but all the same umesaidia.
  7. Sidi J

    Waliowahi "Kulana" shule za bweni

    Yanaitwa Jumbo[emoji38][emoji38]
  8. Sidi J

    Waliowahi "Kulana" shule za bweni

    Maisha msisimko bwana[emoji41]
  9. Sidi J

    Waliowahi "Kulana" shule za bweni

    Dah! Watu mlikuwa na trick za maana yaani...wakati huo wengine kila tukijaribh hola
  10. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Hahahha! Ukiacha hili la ujio wa mzee Mpili, Mengine yapi mkuu?
  11. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Hata sina nia hiyo mwalimu mwenzangu
  12. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Usiogope bhana.....naamini sijasema nataka kuwa "mrembo" mvuto kwa mwanaume ni sawa na kusema "muonekano wa mtanashati" Hata sijalenga kumuharibi yeyote kwakweli.
Back
Top Bottom