Yuko sahihi kwa baadhi ya shule...mfano, nilikosoma A-level hatukuwa na huo utaratibu wa kufuatiliana. Nilikuwa kiongozi wa darasa na attendance nilikuwa napewa na mwalimu nijaze siku wakaguzi wakija.
Kwa waliosoma Malangali kabla ya 2010 (wakati wa Seme kama HM) wanamkumbuka bro mmoja kutoka...
Nakushukuru sana ndugu Mtafiti77
Kwakweli maelezo yako yana mchango mkubwa kwenye kuelewa hili suala.
Nimeongeza kitu kikubwa sana.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Appreciated!,
Nashukuru sana mkuu. Will try out ninachoweza kufanya.
Inawezekana watu wamenielewa tofauti, niliposema "mvuto" nilimaanisha kuondoka kile kiushamba flani hivi...but all the same umesaidia.
Usiogope bhana.....naamini sijasema nataka kuwa "mrembo" mvuto kwa mwanaume ni sawa na kusema "muonekano wa mtanashati"
Hata sijalenga kumuharibi yeyote kwakweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.