Kiukweli Kuna vitenda huwa napata lakin vinahitaji niwe na vyeti lkin Sina maana Kuna watu huwa wananipa connection lkn wanashindwa kutokana na Sina chochote
Salaam kwa wakubwa na wengne wa makamo yangu natumain mu wazima
Mimi ni kijana wa makamo nilimaliza elimu yangu miaka 5 iliopita ikanibidi nikomae mtaani
Ila kwa sasa nina akiba ya Milioni 1.5, sasa nikawa nimepata wazo la kujiendleza kielimu katika chuo moja wapo kwa course ya Community...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.