Recent content by Sibongile Mudenda

  1. S

    Padri Kitima: Unafiki na kusifia kila jambo ili kupata vyeo kutaliua Taifa

    Kama huwa unamskiza Pd Kitima vizuri au kama unakumbukumbu vizuri.huwa anaongea ukweli hata enzi za JPM km kuna Jambo alikuwa anaongea.haogopagi mtu
  2. S

    Hivi jina Nyalusi huwa ni wenyeji wa mkoa gani?

    Ukisema Mwa... Ina maana ni mwanaume. Ivo Yuko sahihi kusema Nyalusi,maana hujui kama ni Me au Ke Sent from my V1818A using JamiiForums mobile app
  3. S

    Walioshuhudia ziara ya Rais Obama Tanzania 2013

    Ahaaa ahaaa Sent from my V1818A using JamiiForums mobile app
  4. S

    Covid-19 itatumaliza, Wizara ya Afya imekaa kimya kama vile haipo

    It begins with you.unataka seriakali isemaje kwa mfano....kama kuchukua tahadhari serikali ilishasema na chanjo zipo.ni ww tu kujiongeza Sent from my V1818A using JamiiForums mobile app
  5. S

    Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

    R.I.P Zakaria Hanspope Sent from my V1818A using JamiiForums mobile app
  6. S

    TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

    Yes.Fr Mbiku ni mmoja wapo( RIP) Sent from my V1818A using JamiiForums mobile app
  7. S

    TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

    Kweli kabisa.kanisa tumepoteza walimu nguli...mahubiri yao na mfundisho tutayaenzi daima.Fr Mbiku tulikuwa chuo tunamuita engine,aliishi biblia na aliielewa sana alikuwa anasimamia ukweli,straight forward man. Wapumzike kwa amani Sent from my V1818A using JamiiForums mobile app
  8. S

    Hivi hawa watangazaji wa vyombo vya habari mnawaelewa? Wamekaa kimasiharasihara tu

    So far mtangazaji/mchambuzi nayemuona mimi anafanya vzr ni yule wa magic fm kipindi cha asb ...Kibwana Dachi
  9. S

    Hivi hawa watangazaji wa vyombo vya habari mnawaelewa? Wamekaa kimasiharasihara tu

    Ndo mana wameambiwa wakasome.wengi wamevamia taaluma hii ndo mana wanakuwa hawana weledi... Utakuta mtangazaji anajisifia eti nilikuwa kwenye mataa naendesha gari yangu....khaa
Back
Top Bottom