Ninauza kiwanja changu kipo Goba Kulangwa kina ukubwa wa mita 15 kwa mita 30.
Bei ni milioni 14
Nyaraka Serikali za mitaa.
Huduma zote za kijamii zipo
0762282526
Pole kwa tatizo ulilonalo mkuu nataka nikuelekeze dawa ambayo huku kwetu huwa wanatumia lakini sio tiba ya siku moja chukua sufuria ulilopikia ugali chemsha maji humo halafu yachuje ukoko hayo maji ndio utumie kuoga usisahau Kuomba damu ya Yesu pia ikusafishe.
Mkuu hii ya sasa imekuja kivingine nimempoteza mdogo wangu wiki iliyopita dada wa miaka 40 Hana sukari Wala HIV She was health aliwekewa oxygen siku 2 tu na nilikuwa nae emergency siku zote hizo tunazungumza anakula lakini alizidiwa ndani ya dk tano tu na kufariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.