Recent content by shybubu

  1. shybubu

    Nashindwa kabisa kurudia tendo kwa mwanamke mmoja; lakini wakiwa tofauti naweza kwenda hadi mara nne. Nina tatizo?!!!

    Nilitaka kusema sex is not for everyone.Sema acha kuhalalisha umalaya kijanja, tafuta mtu mnaependana nakuijua vizuri hali Yako, Kaa nae kwa wiki au miezi kadhaa huku ukiendelea na dozi ya ndizi, karanga, parachichi n.k.
  2. shybubu

    Bora Episode au mke wa pili na watatu!

    Eti wanasema wanasubiri wewe uolewe first halafu waje kuwa second kwa Mume wako.
  3. shybubu

    Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

    Aina hii ya vijana wanamchango mdogo katika Taifa.
  4. shybubu

    Baada ya kumuacha mke wangu amelia sana, naanza kumuonea huruma, nifanyeje?

    Sasa wote mnalia na kusaga meno si mtakuwa vibogoyo nyinyi.
  5. shybubu

    Mnadili vipi na mwanamke ambaye ni careless

    Kama game anatoa vzr hayo mengine ni madogo to. Inawezekana pia kabadilika tabia kulingana na wewe mwenyewe unavyomchukulia, labda kuna ahadi hujamtimizia au unampuuza mambo mengi. Tumia approach tofauti tofauti kumwelekeza, mfano tafuta wakati wa amani kabisa toka nae outing mpige misosi ya...
  6. shybubu

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Kama shetani aliyempitia bado hajafa basi jua atampitia tena. Na zamu hii atapita na kifutio kbs
  7. shybubu

    Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

    Hata yeye atajiuliza kuwa kwanini umbanie au unataka kumwingiza mkenge asigundue labda 1. kitumbua kilishakatwa antena au 2. Unakitembeza sana kina gono pro max plus vipepe yaani kibaya baya tu. Au 3.Kinaharufu kali zaidi ya shombo la samaki. Au 4. Ni bwawa la kambale halina utamu. Hapo...
  8. shybubu

    Inauma sana na haivumiliki

    Duuh! pole sana
  9. shybubu

    Mwanajeshi jirani yangu anachati na mwanamke wangu

    We endelea kuchunguza tu, jamaa anaendelea kupiga pipe, fikiria anavyomtanuria mapaja, fikiria anavyotoa miguno ,fikiria jinsi mimba itakavyoingia halafu ulee mtoto sio wako. Maana wewe bila kukuambia hivi huelewi kitu.
  10. shybubu

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Pole sana aiseeh. Ulisema Mercy alikua anakupa Penzi kwa mafungu mafungu, ila baada ya kutoka kwa Dr. alianza kukupa mapenzi ya nguvu inamaanisha Dr. alimpa uzoefu wa kukazwa sana. Ukimuoa Kaa ukijua kuwa Kuna siku Dr. atamuita kuona mtoto atamkaza tena na atakutumia sms vilevile kukuumiza pia.
  11. shybubu

    Naomba kufahamu tabia za Wanawake wa kikurya.

    Daah oyaa! umewachambua vzr sana
  12. shybubu

    Hatimaye Boss kaoa

    Na bado atakuomba radhi utaelewa tu na ataendelea kukugonga kama kawaida. Sasa hv anasubiria upepo utulie tu. Time Will tell. Utakua mchepuko wake pro-max
Back
Top Bottom