Recent content by Shwartz

  1. Shwartz

    Sho Madjozi kuachana na Muziki baada ya kuachia albamu ya 3, adai Wamarekani walitaka kumbadilisha na hana hiyo energy tena

    Na Kuna mmoja alivaa gauni, kwenye moja ya video zao 😂, kiufup wasanii weng wa kiafrika wanatumika
  2. Shwartz

    Tujadili Maisha: Ni kweli Watu wenye roho nzuri hawafanikiwi kimaisha wakati wenye roho mbaya wanatoboa Kirahisi?

    Ndyo n kwl kabsaa, kwa sababu mwenye roho nzuri, anaklbsha watu weng wabaya, wema na tegemezi...hasa hpa kwny tegemezi ndyo panapofanya Hawa good people wasifanikiwe...mafankio yanataka ubinafsi, ila wao hawana ubinafsi kabsaa.
  3. Shwartz

    Profesa Manya: Ratiba za uzoaji Taka nchini hazieleweki na maeneo mengi hayana Madampo

    Hali ni mbaya mtaani...Nina miezi 2 sjaona gari la taka🤣...na ushuru wa taka wanakusanya🤣🤣💰
  4. Shwartz

    Mwandishi aliyeandika tuhuma za RC Simiyu adaiwa kukamatwa na Polisi

    Wameanza...wameanza tena🙏
Back
Top Bottom